Hivi kwa nini mnaficha ukweli chini ya mwamvuli wa Udini?? Sioni tofauti ya Muislamu wa Zanzibar na wa Bara!! Nachokiona ni waislamu 19 na wakristo 11... This is Maths na sio religious politics au propaganda...
Mzee Mtei has a point!!
Na wale makatibu wawili wa sekretariati ni dini gani? Suala la udini Tz sasa hivi liko wazi wazi...Huko NSSF nako balaa...ooooh Gosh, nisitoke nje ya mada mie