Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Siyo nge anamaana mdada angeenda kuwataarifu wahudumu wa reception kuwa chumbani kwake kuna nge na wala sii kwa mkaka eeh
na hata nge angeenda reception bana..kwa nini anasumbua watu wamungu wamepumzika baada ya kuchoshwa na semina elekezi mchana kutwa