Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,412
Kikwete anawaita ni marais wakali!
Chuki yako kwa Rais Magufuli, ndyo inayokusumbuaUlipoingiza jina la Makufuli tu thread yako imepoteza maana, Bongo hakuna uchaguzi bali ni uchafuzi.
Uchaguzi wa Marekani ungesimamiwa na Lubuva na Jecha wake basi Clinton angetangazwa mshindi.