Mtazamo: Kuna hatari ya NECTA kuingiliwa na wanasiasa kama ilivyo kwa TANESCO

Mkuu labda kwa kuwa huna taarifa kamili,NECTA.ilishaingiliwa siku nyingi,hata matokea haya mabovu yaliingiliwa na wana siasa baada yakutoka mwanzo na kabla hayajatangazwa,yalihaliliwa tena NECTA,iliagizwa baada ya kuonekana shule za serikali zimeanguaka zaidi ya shule za private,wakaambiwa wabalance kwa kupunguza ufaulu kwa shule za private,ili serikali isiaibike kwa shule zake kufail zaidi,kwa matokeo haya siyo halisi na hasa kwa shule za private,zimeonewa sana kwa shinikizo la kisiasa ili chama CCMisilaumiwe na wapiga kula kwa shule zake kufail zaidi.

kuthibitisha ilo Kawambwa wakati anajitete akasema MATOKEO NI MABAYA SI KWA SHULE ZA SERIKALI TU ATA NA ZA PRITATE WAMEFELI.
 
MAMA NDALICHAKO mbuzi wa kafara.kulijua ilo tayari ccm inamtumia kada mlopokaji diwani wa magomeni na mmiliki wa greenacres sec kulichafua necta
 
Na kweli wame amua kumtoa kafara kwa kuvunga wanaunda tume!
MAMA NDALICHAKO mbuzi wa kafara.kulijua ilo tayari ccm inamtumia kada mlopokaji diwani wa magomeni na mmiliki wa greenacres sec kulichafua necta
 
Ninavojua mimi mitihani inayotolewa na NECTA inatungwa na walimu waliopo mashuleni na walimu haohao ndo wanaosahihisha mitihani hiyo. NECTA wao wanasimamia tu uendeshaji wa mitihani hiyo. Kwahiyo kuinyoshea kidole NECTA ni kuionea bila sababu. Walimu ndo wanajibu la kufeli kwa wanafunzi, serikali ya "MAGAMBA" ndiyo iliyosabaisha walimu watoe matokeo haya. TUME ILIYOUNDWA ICHUNGUZE SERIKALI YA MAGAMBA NA JINSI INAVYOWAFANYIA WALIMU. MAGAMBA WASIPOTATUA MATATIZO YA WALIMU TUSISHANGAE MWAKANI KUONA 70% WANAPATA "0".
 
Kwaani matatzi ya elimu nchini yanaletwa au kusababishwa na NECTA? Huu ni ufinyu wa kufikiri
 
Back
Top Bottom