Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Great thinkers nawashauri kuachana na huyu dogo is another Nape kwenye hii forum .Dogo kwa umri ule hawezi kusoma alama za nyakati yet una amini kwamba ni mtu wa maana? Mwacheni aropoke maana hata akiulizwa kama anaweza kuonyesha hongo ipi na wapi ataishia ku waya waya .What he is doing ni kuwasaidia CCM ili watu waseme kwamba Chadema sawa na CCM wana honga lakini hajui timing ni mbovu mwache ale cha nyuma ataamka late .Leave the guy alone tuendelee na mijadala ya kuijenga Tanzania .Tujipange kuitetea Tanzania ni si hawa CCM ambayo wameshindwa mizengwe pamoja na bakwata yao na CUF nyuma .