Mtanzania Mwingine ahusishwa na mauwaji yanayoendelea huko Garissa

Status
Not open for further replies.
Wewe nawe upo kama unatumia masaburi, chuo kipo Kenya, ye anafanya nini huko wakati sio Mwanafunzi? Atakuwa gaidi tu ngoja wambonyeze vizuri hakuna cha utanzania hapo kwenye maisha ya watu.. na kama anatoka kwenye iyo dini watammaliza vizuri tu...hakuna utaifa kwenye mambo ya kijinga namna hiyo...

Huyo Kilaka na Vilaka wenzake watakuwa wanamfahamu huyo mtz aliyekamatwa. Hayupo Mungu wa kweli mnayemuabudu nyie. Hivi nyie wenzetu vipi?
 
Anti islamic comments zinatia hasira sana. Hivi waislamu wapo somalia tu na Nigeria au nchi hizo zenye vijikundi vya ugaidi? kama uislamu ni ugaidi basi dunia isingekalika hii kwa maana tusingezumzia boko haram tena au isis au Al qaida wala Alshabaab kama vikundi. Kama huendeshwi kwa mihemuko ya chuki za kidini haswa islamophobia ungeelewa kwamba kuna utofauti mkubwa kati ya uislam na ugaidi, mathalan wabongo wengi hapa South wanauza sembe je ni kweli kwamba watanzania kama taifa linafundisha uuzaji wa sembe, sasa ukimuona mtu amechukua sampo ya wabongo aliowaona wakiuza sembe bondeni kisha akasimama na kutangaza kuwa tanzania as a nation inafundisha mambo hayo jua huyo ni JUHA. wakati marekani anaua raia wasio na hatia akisaidiana na israel nyote mlikaa kimya. eti israel ni chaguo la Mungu so ana haki ya kuuwa wapalestina na waislamu wengine, kama wewe ni mpenda haki ungetea mauaji ya binaadamu wote wakiwemo waislam na wakristo, hawa wote wana roho ujue. Mauaji ya kimbali hayakufanywa na waislam yle na ilikuwa kanisani lakini ulimuona wapi muislam kaamka na kuwashutumu wakristo wote na dini yao na mungu wao na dhihaka kama zinazofanywa na baadhi ya wakristo. Kuna mkatoliki mmoja aliwahi kuniambia ya kuwa kabla ya kuishi na muislam aliaminishwa ya kuwa muislamu ni mtu hatari sana ni shetani na kila muislamu anafuga majini kama mnavyojitahidi kuwaminisha watu hivyo lakini alipokaa na muislamu akagundua hakuna mtu mwema kama muislamu wa kweli. Tuwe waadilifu jamani, akionewa sheikh ponda tusimame kumtetea kwamba si gaidi na akionewa gwajima tusimame vilevile kumtetea otherwise proven contrary. sio kuleta chuki zako tu. Uislamu unapinga ugaidi na ukristo unapinga ushoga. wanaokubali hatuna namna ya kuwalazimisha lakini misingi inabaki pale pale they are all astray.
 
Jamani mathalani awe mtanzania kweli je nchi imemtuma kuyafanya hayo? suala la kuwa raia na kufanya ubaradhuli ni vitu tofauti almuhimu tusubiri khabari zaidi atakapo hojiwa sidhani kama ni busara kutoleana povu waqt khabari haijawa kamili.
 
kama kweli alihusika wafuate michakato mujarab vingnevyo kummaliza tu ili waridhike kwamba somebody has paid itakua kama kuongeza unknown nyngne kwny equation na wanajua vizur hiyo haitowasaidia kufikia jawabu
 
Wewe nawe upo kama unatumia masaburi, chuo kipo Kenya, ye anafanya nini huko wakati sio Mwanafunzi? Atakuwa gaidi tu ngoja wambonyeze vizuri hakuna cha utanzania hapo kwenye maisha ya watu.. na kama anatoka kwenye iyo dini watammaliza vizuri tu...hakuna utaifa kwenye mambo ya kijinga namna hiyo...

Inawezekana alimfata nduguye ila uchunguzi wa kina ufanyike
 
Wenyeji karibu wote wa Garissa ni wasomali.huku tanzania tuna wasomali wengi saana wana uraia wa hapa na kenya,hiyo moja.Lakini la pili waseme na wa asili gani huyo Mtanzania....unawezakuta ni msomali aliyekulia huku Tz akaenda kwao garissa akawa analala chuoni na ndugu yake.Miaka ya sabini na tatu nikiwa nafanya kazi EAC nairobi nilikamatwa na Auxillary police wa Nbo univesity nikila chakula canteen.ilikuwa ni tabia yetu tukiishiwa tunajifanya students tunatinga chuo kutia msosi...arubaini ilioofika nikanaswa na Makarau wa chuo.

Mkuu hayo maelezo yote ni polisi ndio watakaojua baada ya upelelezi wao kufanyika kama ni gaidi au alienda kulala chuoni,sijui ni mtanzania alienda kusalimia ndugu zake,kuwepo tu kwa raia kwenye maeneo ya chuo ni kosa ndio maana hata wewe walikukamata kipndi hcho sembuse mauwaji yametokea na wewe upo,lazima wadili na wewe adi kieleweke.
 
Kwa taarifa yenu.....Kuna wimbi la vijana wengi hasa wa kiislamu kukimbilia nchi za nje katika kile kinachoonesha ni kujiunga na makundi ya kigaidi kama Alshabaab, Bokoharam, IS, n.k.

Kama unabisha uliza wanausalama wa maeneo haya: Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Mtwara, Zanzibar, etc...
Hivyo huyo mtu anayedaiwa kuwa ni mtanzania kukutwa katika eneo la tukio Garisa inawezekana kabisa ikawa ni kweli!!
 
mirisho pm,
Hakuna Mtz anayetetea muuaji kisa tu ni Mtz mwenzetu, sisi tuna ongea uhalisia hapa.
Halafu kwani ukimuua ndo unamaliza au kupunguza tatizo, yaani inamaanisha hamjui mpaka saivi mnatakiwa mpandane na ideology na sio watu, haujui hata adui yako hasa ni nani, mkiendelea kuua ovyo ovyo mtakuwa mna tofauti gani kati yenu na hao Al Shabab sasa?
Leo nimeona documentary moja ya Al Jazeera kutoka thread nyingine humu JF kuhusu wakenya wa northern part, "not yet Kenyan", nikiangalia na hii mentality yako jibu ni moja, hamta pata ushirikiano kutoka jamii ya ki Somali hadi mjirekebishe na ubaguzi wenu kijinga.
Inasikitisha kuona Kenya ina idadi nzuri ya wasomali ila imeshindwa kupandikiza hao watu huko Somalia kuweka mambo sawa.
Endelea sasa na ideology yenu ya kibaguzi halafu tuone mtafika wapi

Kwanza nawapa pole sana ndugu zetu wa Kenya kutokana na kitendo cha ukatiri uliyo pitiliza mipaka, tunawaombea walio poteza maisha Mungu alaze roho zao mahali pema peponi - AMEN.

Mkuu, tukija kwenye documentary ya Al Jazeera, hata mimi miaka kama miwili hivi iliyopita niliwahi kuona Documentary nyingine ya Al-Jazeera, ilikuwa inazungumzia kuhusu Wakenya wa Garrisa wenye asili ya Somalia; mtangazaji alikuwa Msomali mzaliwa wa Garrisa ameajiliwa Al Jazeera - mazungumzo niliyo sikia kwenye documentary hiyo yalinishangaza sana - sikuamini masikio yangu!! Kwanza, Msomali huyo alisema alikimbia Kenya miaka mingi iliyopita kutokana na mateso aliyo wahi kupata akiwa mikononi mwa Polisi, jamaa na ndugu zake hawakuwahi kusalimika kutokana na matendo ya ukatili na baadhi yao kuuwawa na Polisi bila sababu za msingi! Aliongezea kwamba, wakati mwingine wanajeshi walikuwa wanavamia nyumba zao usiku wa manane wanavunja milango na kuwafanyia vitendo vya kuwadhalilisha, wakati mwingine Wanajeshi wanafanya summary excution!! Mark you - mtangazaji alisema ukatili huo ulikuwa unafanyika kwa muda mrefu kabla hata ya kikundi cha Al-Shabaab hakija hibuka/hundwa huko Somalia.

Mtangazaji huyo na Camera crew wa Al Jazeera alirudi Garrisa kinyemela, aliwahoji Wasomali wenzake kinacho endelea kwenye Mji wa Garrisa na Vitongoji vyake tangu ahame kwenda Ulaya - wenyeji wenye asili ya Kisomali walilalamika sana kwamba wanasumbuliwa na kudhalilishwa kwa miaka mingi sana, walimwambia mambo mengi sana kutokana na kumuamini Kijana huyo mzaliwa wa Garrisa.

Baada ya kusikiliza Documentary hiyo ambayo ilichukua muda mrefu kidogo ndio nikagundua kwamba Somali Community in Northern Kenya wanajihisi wanabaguliwa sana na Taifa lao la Kenya, binafsi ningeshauri Viongozi wa Kenya wajaribu kukaa chini na watu hawa na kuwahakikishia kwamba hawatafanyiwa vitendo vya kutowajali/kudhalilisha - mkipuuzia ushauri wangu basi Wasomali wa Garrisa na wa sehemu nyingine za Kenya watashawishika kuwapa hifadhi Al-Shaabab - tukajikuta Africa Mashariki tunapata zahama za Africa Magharibi na BOKO ARAM, inaelekea Al Shaabab wameanza kutumia mbinu za BOKO ARAM - tuwe macho.

Labda nimalizie kwa kusema kwamba Viongozi wa Kenya wasijingize sana kwenye masuala ya Somalia, adhabu mlio wapa Al Shaabab inatosha ondoeni majeshi yenu Somalia hakuna atakae wacheka - wahacheni Wasomali wayamalize matatizo yao wenyewe - kama wanataka Taifa lao liwe Islamic Republic- shauri yao mbona Taifa lao limewahi kuishi zaidi ya miaka ishirini bila ya kuwa Serikali, mizigo ya Regime chage wahachie wa Merikani wahangaheki nalo lakini na wao utafika wakati watachoka kukimbizana na Al-Shaabab.
 
Achanganywe na yule binti mwehu aliyekamatwa akienda kujiunga na alshabab wapigwe risasi.
TUMECHOKA.
 
Kwa taarifa yenu.....Kuna wimbi la vijana wengi hasa wa kiislamu kukimbilia nchi za nje katika kile kinachoonesha ni kujiunga na makundi ya kigaidi kama Alshabaab, Bokoharam, IS, n.k.

Kama unabisha uliza wanausalama wa maeneo haya: Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Mtwara, Zanzibar, etc...
Hivyo huyo mtu anayedaiwa kuwa ni mtanzania kukutwa katika eneo la tukio Garisa inawezekana kabisa ikawa ni kweli!!
Tanzania isijaribu kamwe kuingia somalia kwa usaidizi wa kenya..tayari kichwa cha nyoka alshabaab kiliwasili TZ kitambo mkia tu ndio umebaki Somalia. Yani kwa ufupi EAC ni magaidi tupu tunaishi kwa uwezo wa mwennyezi mungu
 
Tatizo watanzania mnaabudu sana umalaya, umalaya to bone... this is bulshit..atawajua wakenya vizuri.. nani kasema anafuata demu? Tanzania mademu wapo tele..nyie mnadhani kuna wa kumtetea kama ana jina la wale jamaa...? hawachunguzi sana wanammaliza tu... mkome

Ushawahi Kuonja Uchi Wa Wakenya? Ni Mnato Ile Mbaya.
 
Nilipata tetesi kua ni Mh Mbowe alikua mapumzikoni,hua anakawaida ya kutembelea Kenya saana.
 
Hapa Tanzania kuna uwezekano wa uwepo wa watu wa aina hiyo wengi sana, wanakosa tu fursa ya kufanya hivyo... wewe hata huku JF huwaoni comment zao? Dini inafundisha kuua kwa niab ya Mungu? Dini au jini? nikiangalia watoto waliojaa mustakabali walivyouwawa kwa sababu ya imani ao roho inaniuma sana..hao watoto wamewakosea nini? mijitu mioga sijawahi ona.....
usiendeshwe na hisia. tafuta ukweli. kisa cha kenya kushambuliwa na al-shabab ni kwa sababu wamepeleka majeshi yake kupigana somalia. na hili lilisemwa waziwazi na Al Shabab.
 
Ni hatari sana aisee!.

Wanajeshi wa kenya hovyo sana,wangemuwahisha tu ahera akajilie mabikra wake 72.

We ungekuwa na bwana saa hizi una watoto 20 manake unawashwa kila siku.
Tatizo ni ubovu wa sura lako.
Mtoto wa kike una bichwa kubwa ka Tikiti la lushoto? Nani fa.la akutake?

Utaimba kwaya mpaka kufa! Labda walevi km matumbo wakubipu!
 
Last edited by a moderator:
Achanganywe na yule binti mwehu aliyekamatwa akienda kujiunga na alshabab wapigwe risasi.
TUMECHOKA.

Ngoja siku moja Dadako apakaziwe ugaidi halafu abakwe na afande matonyonso ndio utashika adabu paka mwitu we!
We unaushahidi gani yule binti aliokamatwa alitaka kujiunga na Magaidi! Km sio kushabikia Upuuzi wa washenzi wachache wasiokuwa na Elimu.
Usio yajua funga hilo domo lako.

Wapigwe risasi, we mamako angekuwa kwenye issue hii ungepayuka kishoga namna hii?

Sijui wanawake wa namna yako vipi mnawezaje Kukaa na waume zenu?

Hivi we hata huyo hawara yako unamuheshimu kweli?
Kizazi cha zinaa ni laana tu.
 
Tuliopita vyuo vikuu tunatambua mahusiano ya wanachuo na raia wasio wanafunzi. Yawezekana huyo mtu (Mtanzania) alikuwa na mpenzi wake hapo chuoni GARISSA.
Kwa hiyo akili yako ndogo inakuaminisha kuwa huyo mfuasi wa allah wa maka alienda hapo chuoni kufanya uzinzi. Hivi unadhani nchi zote na vyuo vyote duniani wanafunzi wanapeleka uchafu wao chuoni kama mfanyavyo kwenye vyuo vyenu. Hilo ni gaidi wakenya walichinje tu
 
Ngoja siku moja Dadako apakaziwe ugaidi halafu abakwe na afande matonyonso ndio utashika adabu paka mwitu we!
We unaushahidi gani yule binti aliokamatwa alitaka kujiunga na Magaidi! Km sio kushabikia Upuuzi wa washenzi wachache wasiokuwa na Elimu.
Usio yajua funga hilo domo lako.

Wapigwe risasi, we mamako angekuwa kwenye issue hii ungepayuka kishoga namna hii?

Sijui wanawake wa namna yako vipi mnawezaje Kukaa na waume zenu?

Hivi we hata huyo hawara yako unamuheshimu kweli?
Kizazi cha zinaa ni laana tu.

We pimbi endelea kushabikia huu upuuzi na ikibidi jifungashe mabomu na wewe. Nyie dawa yenu ni kuwalawiti kama alivyolawitiwa yule jamaa mnayemfuata "allah wa makka" mfuga majini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom