PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Mtanzania huyo amekutwa ndania ya chuo hicho na rekodi zinaonyesha si mwanafunzi anaesoma hapo kwahiyo ameshikiliwa kama mshukiwa
ni dhahiri sasa serikali ya tanzania inatakiwa kuwa macho na wimbi hili la watanzania kujihusisha na ugaidi wasije kuturudi wenyewe.
Bbc swahili
ni dhahiri sasa serikali ya tanzania inatakiwa kuwa macho na wimbi hili la watanzania kujihusisha na ugaidi wasije kuturudi wenyewe.
Bbc swahili