You nailed bro.mirisho pm,
Hakuna Mtz anayetetea muuaji kisa tu ni Mtz mwenzetu, sisi tuna ongea uhalisia hapa.
Halafu kwani ukimuua ndo unamaliza au kupunguza tatizo, yaani inamaanisha hamjui mpaka saivi mnatakiwa mpandane na ideology na sio watu, haujui hata adui yako hasa ni nani, mkiendelea kuua ovyo ovyo mtakuwa mna tofauti gani kati yenu na hao Al Shabab sasa?
Leo nimeona documentary moja ya Al Jazeera kutoka thread nyingine humu JF kuhusu wakenya wa northern part, "not yet Kenyan", nikiangalia na hii mentality yako jibu ni moja, hamta pata ushirikiano kutoka jamii ya ki Somali hadi mjirekebishe na ubaguzi wenu kijinga.
Inasikitisha kuona Kenya ina idadi nzuri ya wasomali ila imeshindwa kupandikiza hao watu huko Somalia kuweka mambo sawa.
Endelea sasa na ideology yenu ya kibaguzi halafu tuone mtafika wapi