Kama ni hivyo sijui ni kitu gani kinachowatambulisha kama watanzania mkiwa huko baada ya kuukana uraia wa watanzania. Au ni suala la kusema tu mimi ni mtanzania basi? Ni sawa, tofauti na nchi nyingine Tz tumejitahidi kuuweka ukabila pembeni. Lakini muda wote mliishi naye hakuna anayejua alikuwa alikuwa kabila gani? Sio kwamba nawalaumu maana hata mkewe na watoto hawajui alitoka sehemu gani Tanzania - hapo ndio kwenye tatizo kubwa.
Uraia mtaupata au tuseme mtarudishiwa muwe na subira!
Watu tuna matatizo ya kusoma na kuelewa!
Zile dola 6,000 hazikuwa kwa ajili ya marehemu kurudishwa Tanzania.
Zilikuwa ni kwa ajili ya marehemu kuzikwa mazishi ya kawaida huko huko Madison, WI, na si kuuchoma moto mwili wake.
Kusafirisha maiti kutoka Marekani kwenda Tanzania ni zaidi ya dola 6,000.
Sasa sijui kwa nini watu mnadhani kuwa hizo pesa zingekuwa ni za kuusafirisha mwili wake hadi Tanzania.
mkuu, with due respect naomba nitofautiane na wewe. dola buku 6 zinaweza kabisa kuleta mwili tz toka us. sbb pale zinapimwa kilo na human remains ni cargo. uzito mara nyingi hauzidi kilo 150kg depending na coffin lilivyo na hum weight.
mkuu kwa hili natofautiana na wewe, sisi watz ni ndugu zake tungemzika popote ktk ardhi ya tanzania
Nakubaliana na wewe mkuu.Nimepata kushuhudia Watanzania wengi licha ya kutoendekeza ukabila, lakini wamekuwa na kawaida ya kupambanua asili zao wanakotokea iwe ni Milima ya Usambara, Uruguru, Kipengere, Kilimanjara, Sekenke, Lyamba lya Mfipa, Udzungwa nk. Jambo la kushangaza kwa hayati hata kumtonya mmoja wapo wapi asili yake ingawa jina laelekea kama ni Mgosi wa Kaya. Hata hivyo nimeshangazwa na wengi wenye majina hayo kutojitokeza kwamba wanamfahamu.
Kuna baadhi kupendelea kutumia majina yao yasiyo halali na majina halali kutumia inapohitajika rasmi tu huweza kuleta mkanganyiko.
Tujaribu hata kama hatupendi kuwa karibu na ndugu walao wawili au watatu katika ndugu na jamaa au marafiki kuwafunda ambao wako nyumbani kwa mawasiliano.
Tunapojadili suala hilo hatumjadili hayati ila yatokanayo kwani kesho yanaweza kurejea kwa mtu mwingine.
mkuu kwa hili natofautiana na wewe, sisi watz ni ndugu zake tungemzika popote ktk ardhi ya tanzania
Mkuu lets call a spade a spade sio sepeto au chepeo.
Kosa ni la marehemu, hakuwa karibu na ndugu zake, na ndio maana hata mke na watoto wake hawajui alitokea wapi
Tunaambiwa kuwa mtoto wake wa kwanza alizaliwa 1989 which means ana umri wa miaka 25 sasa, umri tosha kuhoji baba ulitokea wapi?
Pia mwanamke anaishi na mtu miaka yote bila kujua mzee katokea wapi?
SOMETHING FISHY HERE....?????
Watu tuna matatizo ya kusoma na kuelewa!
Zile dola 6,000 hazikuwa kwa ajili ya marehemu kurudishwa Tanzania.
Zilikuwa ni kwa ajili ya marehemu kuzikwa mazishi ya kawaida huko huko Madison, WI, na si kuuchoma moto mwili wake.
Kusafirisha maiti kutoka Marekani kwenda Tanzania ni zaidi ya dola 6,000.
Sasa sijui kwa nini watu mnadhani kuwa hizo pesa zingekuwa ni za kuusafirisha mwili wake hadi Tanzania.
uko right kbs chilisosi. mke hajui asili ya mumewe? na mtoto 25yrs lzm atakuwa inquisitive kumuuliza baba where is our roots. yameshatokea tumwache mgosi lukindo apumzike kwa amani na pole kwa familia yake.
mkuu kwa hili natofautiana na wewe, sisi watz ni ndugu zake tungemzika popote ktk ardhi ya tanzania
Mkuu tatizo jamaa wanatushikia bango kluwa tumeshindwa kutoa hela wakati wenyewe wanajua hata ukiwa bongo kama aukijitenga na jumuia itakutenga.
Kama huendi misibani nao hawatakuja
Kama hutoi michango na wao hawatachanga.
Mimi hapo nawajibu watu kama Lemutuz wanaosema tunatia aibu kwa kushindwa kutoa hizo hela.#
Watu tuna matatizo ya kusoma na kuelewa!
Zile dola 6,000 hazikuwa kwa ajili ya marehemu kurudishwa Tanzania.
Zilikuwa ni kwa ajili ya marehemu kuzikwa mazishi ya kawaida huko huko Madison, WI, na si kuuchoma moto mwili wake.
Kusafirisha maiti kutoka Marekani kwenda Tanzania ni zaidi ya dola 6,000.
Sasa sijui kwa nini watu mnadhani kuwa hizo pesa zingekuwa ni za kuusafirisha mwili wake hadi Tanzania.
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, Le mutuz ameshikilia bango suala la mbongo kuchomwa moto Marekani baada ya kukosekana dola $6,000. Lakini nataka niwaulize mnaotukosoa, JE MNAMFAHAMU MARAEHEMU?, MNAWAFAHAMU NDUGU ZAKE?
Katika pitia pitia kwenye mitandao na baada ya kuongea na wabongo wawili watatu walioko boksi la US nimegundua kuwa jamaa hakuwa karibu na ndugu zake na hajawahi kanyaga Bongo miaka thelasini. Tunaambiwa kuwa hata mke na watoto wake hawajui jamaa alitokea wapi.
Sasa kama hata mke na watoto wake hawajui asili yake kwa nini watu walikuwa wanangangania arudishwe bongo?
Mnapigania maiti irudishwe bngo wakati angekuwa mzima mngemnyima uraia?
Mimi nawaasa tu jamaa zangu wabeba boksi, mkiwa huku nje muwe mnakumbuka nyumbani, msisahau kwenu na mhakikishe hata watoto wenu mliozaa na vishoka wanakwenda home waumwe na mbu kidogo ili wajue wazazi walitokea wapi.
Pia jamaa yangu Le mutuz acha kutulaumu, sisi hata hatujui jamaa katokea wapi ulitaka tuchange hela apelekwe wapi? Unaweza kwenda kuzika mtu Tanga kumbe katokea Angola, huoni kama ni dhambi hapo?
Kama mimi mwongo naomba kama kuna mtu anaemfahamu hata ndugu mmoja tu wa marehemu ajitokeze hapa
Mkuu hata mie nilishangaa mbona ni cheap sana kuna uzi humu jamaa mmoja wa dodoma alikuwa anasomeshwa na serikali nchini china, mwili wake ulichomwa moto na kusafirisha jivu baada ya ubalozi wa Tz nchini China kukosa $45000/= za kusafirisha maiti!!
Msihangaike kujitetea saana, angalieni mlijikwaa wapi, muweze kujirekbisha.
Binadamu ukishakufa umekufa, suala la kuzikiwa wapi sio ishu unazikwa popote panapostahili period!
Jamaa alikuwa anaitwa nani? itisha rambi rambi tuchangie mzee wa kaziNdugu zanguni,
Kama mjuavyo, Le mutuz ameshikilia bango suala la mbongo kuchomwa moto Marekani baada ya kukosekana dola $6,000. Lakini nataka niwaulize mnaotukosoa, JE MNAMFAHAMU MARAEHEMU?, MNAWAFAHAMU NDUGU ZAKE?
Katika pitia pitia kwenye mitandao na baada ya kuongea na wabongo wawili watatu walioko boksi la US nimegundua kuwa jamaa hakuwa karibu na ndugu zake na hajawahi kanyaga Bongo miaka thelasini. Tunaambiwa kuwa hata mke na watoto wake hawajui jamaa alitokea wapi.
Sasa kama hata mke na watoto wake hawajui asili yake kwa nini watu walikuwa wanangangania arudishwe bongo?
Mnapigania maiti irudishwe bngo wakati angekuwa mzima mngemnyima uraia?
Mimi nawaasa tu jamaa zangu wabeba boksi, mkiwa huku nje muwe mnakumbuka nyumbani, msisahau kwenu na mhakikishe hata watoto wenu mliozaa na vishoka wanakwenda home waumwe na mbu kidogo ili wajue wazazi walitokea wapi.
Pia jamaa yangu Le mutuz acha kutulaumu, sisi hata hatujui jamaa katokea wapi ulitaka tuchange hela apelekwe wapi? Unaweza kwenda kuzika mtu Tanga kumbe katokea Angola, huoni kama ni dhambi hapo?
Kama mimi mwongo naomba kama kuna mtu anaemfahamu hata ndugu mmoja tu wa marehemu ajitokeze hapa