Mtanzania acha kujistress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Mediums. Kilicho mtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe pia

Wengi wenu mnasomeaha watoto huko EM ili eti wajue kingereza au wafaulu form 4 na 6...hakuna lingine.Cha kujiuliza mtoto anafeli vipi kipindi hiki cha mama kizimkazi..mitihani inavujishwa hadi watsapp na telegram.

Sisi tulisoma Gov't schools na tulijua kuongea ung'eng'e vizuri tu na tulifaulu form 4,6 na kuingia huko vyuoni. Cha ajabu nyie wa private mnakuja bado kugombania kuomba loans HESLB ambazo ilistahili wale waliotoka Kayumba ndio wapate
Kwanza hizo private wananunua matokeo,nimesoma hizo shule tangu standard 1-4 ila saivi ni boda
 
EM ni money making scheme kwa wamiliki wa hayo mashule..standard ya elimu ni ileile....unapambana huku chini ili mje kujazana at university level...mkishapata degree zenu mnarudi mtaani kuzungusha bahasha. Kama mzazi unajijua huna biashara, makampuni au assets unazotaka mwanao/wanao waje wazisimamie au waziendeleze basi usijisumbue kumpeleka mwanao huko EM. Ni upotezaji wa fedha....hizo 4/5M unazolipa kama ada ya mtoto ili asome EM schools ni bora ukamfungulia fixed deposit account mwanao ili akimaliza masomo apate mtaji wa kuanzia maisha yake mtaani.
True
 
Mmmh!! Wabongo bwana vitu vingine acheni mkumbo.Nafuatilia hizi shule walimu hawajui grammar kabisa yani wanawafundisha utumbo tena ni hizi shule zenu kubwa kabisa

Ndio maana nasema siwezi kulipa mamilioni ili mtoto wangu afundishwe kiingereza na mtu ambae hajui kiingereza. Mtu ambae kiingereza sio lugha yake ya kwanza . Mtu ambae lugha anayo itumia kuwasiliana kila siku ni kiswahili. Ni ujinga na upuuzi wa hali ya juu sana
 
Kwa Tz kama unataka kuwekeza pesa zako uwe tajiri fasta wewe wekeza kwenye haya mashule ya english medium..imagine shule ina wanafunzi 1000 tu na wazazi wanalipa 3-4M fee per year....unajikuta una zaidi ya 3-4B...mwisho wa mwaka wewe unanunua mitihani unawapa wanafunzi ufaulu unaonekana mkubwa then mwakani mapopoma wanazidi kukuletea tena pesa
 
Hauko sahihi elimu ya Tanzania sio job creater ila ni job seekers.....tena ya serikali ndo worse ata ile confidence hawana akili za mtoto alie malizia kwenye shule za sarikali zina ile dependence sydrome hawawezi maisha ya kujitegemea bila msaada wa serikale.
Hata hao EM hawawez
 
Mkuu sikuwahi kufanya hilo zoezi, nadhani ni msingi wa malezi yaliyonikuza.....sikuandaliwa kuajiriwa na wanangu siwaandai kuajiriwa.
Good for you. But umewaanda pia na maisha bila wewe ? Kwa sababu wanasema " A father who has never prepared his son for his death he failed as a father"
 
Back
Top Bottom