Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,651
- 5,989
Habari zenu wana jamvi,
Katika siku za karibuni mtandao wa simu wa Airtel Tanzania unasumbua sana maeneo ya Dar es Salaam, Mkuranga, Kibiti, Rufiji hata Kilwa. Hili tatizo limewahi kujitokeza siku za nyuma lakini wenye mtandao wao wakakaa kimya kama vile hakijatokea kitu.
Nitaeleza siku ya jana tarehe 2 May, 2021. Usumbufu uliokuwa unapatikana kwa watumiaji wengi wa Airtel ni kama ifuatavyo:
1. Unapiga namba (ya Airtel) kwa nyakati tofauti unaambiwa haipatikani na wakati namba kwa hiyo iko hewani muda wote na haiko busy.
2. Unapiga namba simu inasearch tu haisemi kama inapatikana au haiko hewani na inakatika bila majibu.
3. Internet yasumbua sana.
Hivi wanajua usumbufu na hasara wanazosababishia wateja wao? Chukulia mtu ni mfanyabiashara umepigiwa simu akupe order hupatikani, fasta anapiga kwa mwingie na mtu huyo tayari amepoteza mauzo.
Airtel wana upuuzi sana, wanaweza hata kukupa GB 3 kwa elfu 2 lakini mtandao ukatafute mwenyewe. Mwisho kifurushi kinapitwa na muda ndio imeisha hiyo. Kama wameshindwa kutoa huduma bora, waache. Soko hilo huru tutahamia kwingine. Kinachokera zaidi ni tabia yao ya kukaa kimya bila kutoa taarifa kwamba kuna shida ya kimtandao. Haikakaa poa kibiashara.
Nina imani wahusika wanapita hapa. Wachukue hii in a positive way lest they loose me for the fisrt time.
Kudos.
Katika siku za karibuni mtandao wa simu wa Airtel Tanzania unasumbua sana maeneo ya Dar es Salaam, Mkuranga, Kibiti, Rufiji hata Kilwa. Hili tatizo limewahi kujitokeza siku za nyuma lakini wenye mtandao wao wakakaa kimya kama vile hakijatokea kitu.
Nitaeleza siku ya jana tarehe 2 May, 2021. Usumbufu uliokuwa unapatikana kwa watumiaji wengi wa Airtel ni kama ifuatavyo:
1. Unapiga namba (ya Airtel) kwa nyakati tofauti unaambiwa haipatikani na wakati namba kwa hiyo iko hewani muda wote na haiko busy.
2. Unapiga namba simu inasearch tu haisemi kama inapatikana au haiko hewani na inakatika bila majibu.
3. Internet yasumbua sana.
Hivi wanajua usumbufu na hasara wanazosababishia wateja wao? Chukulia mtu ni mfanyabiashara umepigiwa simu akupe order hupatikani, fasta anapiga kwa mwingie na mtu huyo tayari amepoteza mauzo.
Airtel wana upuuzi sana, wanaweza hata kukupa GB 3 kwa elfu 2 lakini mtandao ukatafute mwenyewe. Mwisho kifurushi kinapitwa na muda ndio imeisha hiyo. Kama wameshindwa kutoa huduma bora, waache. Soko hilo huru tutahamia kwingine. Kinachokera zaidi ni tabia yao ya kukaa kimya bila kutoa taarifa kwamba kuna shida ya kimtandao. Haikakaa poa kibiashara.
Nina imani wahusika wanapita hapa. Wachukue hii in a positive way lest they loose me for the fisrt time.
Kudos.