byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,223
- 3,578
Ndio mkuu..tuko bize na cologne yake
Ndio mkuu..tuko bize na cologne yake
Mkuu! Lazima mashabiki wa Simba tukubali kwamba asiyekubali kushindwa si mshindani lakini huu sio ushindani ila ni zaidi ya Upumbavu uliopo hapo Simba.Hivi ni kweli simba hatujui mpira au kuna shida nyingine?
Siamini.
Bablai mbona jina inabadilika kama carmouflage?Katika uzi huu Leo nimeona mashabiki wengi wapya na hawa ndiyo wachawi wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba wa Lusaka yeye ni wa kwa mchina paleHivi Triple C yupo kweli, manake namzoom lakini wapi.
Ukiona unachukiwa sana ujue wewe ndio mkali wao.
Vyura pamoja na kelele zote hapa mkikutana hata na Simba B bila kuloga hamwezi kupata hata suluhu
Yaani bado una nguvu hata ya kuongea ..hahaa mhh mkuu una roho ngumuUkiona unachukiwa sana ujue wewe ndio mkali wao.
Vyura pamoja na kelele zote hapa mkikutana hata na Simba B bila kuloga hamwezi kupata hata suluhu
Mkuu umeanza kujidhalilisha wewe ni GT bwana acha mambo ya mtaani Al ahly wametumia mbinu za kivita za kumuwahi adui.MO bora angenunua korosho sio hii Simba
Waarabu wapo fair nasikia wamemwambia refa, zile goli tano wamefuta kipindi cha pili wanaanza kuhesabu upyaaaaaaaaaaaaaaaa .
Simba ndio team ya kwanza kufungwa tano kwani?Yaani bado una nguvu hata ya kuongea ..hahaa mhh mkuu una roho ngumu
Ama kweli simba sio baba yako wala mama yako
Sent using Jamii Forums mobile app