hongera mwenzetu, nenda udzungwa- Mang'ula kodi shamba panda mpunga utatumia kiasi kidogo cha pesa kama laki 2 hivi, badae utavuna magunia mengi kama mambo yataenda poa, tafuta soko uuze kwa jumla, laki 2 itakupa faida, kuhusu usafirishaji utajua baadae kama mnunuzi anasafirisha mwenyewe au unasafirisha wewe, utapigia mahesabu, gharama ya usafirishaji accordingly.
ila ndugu yangu am very serious plz nikopeshe kama laki 4 au 5, nitakurudishia miezi ya mbele hapo plz plz
hongera mwenzetu, nenda udzungwa- Mang'ula kodi shamba panda mpunga utatumia kiasi kidogo cha pesa kama laki 2 hivi, badae utavuna magunia mengi kama mambo yataenda poa, tafuta soko uuze kwa jumla, laki 2 itakupa faida, kuhusu usafirishaji utajua baadae kama mnunuzi anasafirisha mwenyewe au unasafirisha wewe, utapigia mahesabu, gharama ya usafirishaji accordingly.
ila ndugu yangu am very serious plz nikopeshe kama laki 4 au 5, nitakurudishia miezi ya mbele hapo plz plz
Mzee anajishughulisha na nini?
Kama anafanya biashara mwambie akupe mwanga ni nini cha kuifanyia.
Otherwise tafuta zako kazi.
hongera mwenzetu, nenda udzungwa- Mang'ula kodi shamba panda mpunga utatumia kiasi kidogo cha pesa kama laki 2 hivi, badae utavuna magunia mengi kama mambo yataenda poa, tafuta soko uuze kwa jumla, laki 2 itakupa faida, kuhusu usafirishaji utajua baadae kama mnunuzi anasafirisha mwenyewe au unasafirisha wewe, utapigia mahesabu, gharama ya usafirishaji accordingly.
ila ndugu yangu am very serious plz nikopeshe kama laki 4 au 5, nitakurudishia miezi ya mbele hapo plz plz
Una raha sana we kijana. Yaan 10m net mkononi hata bila jasho. Anyway tulia utafakari kama msomi aliyetoka chuo kikuu tena aliyesomea uhasibu. Chukua ushauri wa watu halafu changanya na akili zako. Kumbuka kuleta mrejesho hapa
mzee ameajiriwa ..hajawahi kufanya bness..
hongera mwenzetu, nenda udzungwa- Mang'ula kodi shamba panda mpunga utatumia kiasi kidogo cha pesa kama laki 2 hivi, badae utavuna magunia mengi kama mambo yataenda poa, tafuta soko uuze kwa jumla, laki 2 itakupa faida, kuhusu usafirishaji utajua baadae kama mnunuzi anasafirisha mwenyewe au unasafirisha wewe, utapigia mahesabu, gharama ya usafirishaji accordingly.
ila ndugu yangu am very serious plz nikopeshe kama laki 4 au 5, nitakurudishia miezi ya mbele hapo plz plz
Wadau mimi ni mwanafunzi wa IFM mwaka wa tatu, namaliza bachelor degree in accountancy mwezi wa 6, mzee wangu kanipa ofa ya 10m as capital nikimalza chuo.
Sasa nawaza, sijawahi kufanya biashara yoyote kwa hiyo sina experience swali langu kwenu nyie wadau nitafanya biashara gan na hiyo hela??? Au bora nitafute ajira tu?
biashara inategemea na eneo ulilopo kama bidhaa unayoweka inaitajika na watumiaji wengi
Ni biashara ip ya tofaut na zlzozoeleka mtaani unahc inaweza kunitoa ukilnganisha na mtaj nlionao?? tethering