Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

Kama uko sehemu mzuri, uza chips, maziwa, juice ya kutengeneza mwenyewe, supu in short ka cafe flani hivi nadhani unaweza kutoka mapema
 
Karibu uwe wakala wangu wa uuzaji na unnunuzi wa sembe safi ya sss pia kama wakala ktk kampuni yangu nakupa pia ushauri wa biashara bure .. Nitafuite hapa: 0-657 740 797
 
Ndg,

Bila shaka muwazima, mungu azidi kuwatia pumzi pamoja na upeo wa kufikiri.

Mimi nina milioni 1(1,000,000/=) Tsh.kama kianzia. Ninapenda nami siku niitwe tajili ktk kundi la watu ! Naomba msaada wa mawazo nifanye nn ili niweze kufanikiwa? Hii Pesa nimeipata kwa kufanya kazi za watu hivyo nimechoka kuajiliwa nami napenda nijiajili.

Nitafurahi sana kama mtakao npe ushauri mtanitajia na namna ya kukabiliana na changamoto nitakazo kutatana nazo katika kuendesha hiyo shughuli nitakayo ianzisha.Nipo tiari kuishi sehemu yeyote si mjini wala kijijini tu!

Kwa yeyote yule mwenye ushauri anaweza kunishauri kupitia ukulasa huu au kwa simu mamba 0714 984 623 au kwa email. marcoyohana2@gmail.com.

Nitashukuru sana kama nitasaidiwa
 
Ukikaa chini ukatulia na ukafikiria, itakusaidia sana kupata biashara ya kufanya tena ambayo utaipenda toka moyoni mwake na hivyo kuifanya moyo,
 
kwanza angalia mahali ulipo kuna tatizo gani ? kwa mfano hapo ulipo kama kuna tatizo la maji basi unabadilisha tatizo hilo kuwa mradi wako, hii ni hatua ya kwanza ya wewe kupata wazo la biashara ukimaliza kupata wazo la biashara unafuata hatua ya pili ya kufanya maamuzi ambayo yanaweza kubadili maisha yako na wakati unaingia kwenye biashara yako kichwani kwako uwe na wazo la kwamba si kwamba unahitaji kuwa na utajiri wa haraka fikiri kuwa Uvumilivu ndio kinga ya Biashara yako. Ngoja nikupe mifano ya miradi ya kufanya 1. kununua na kuuza mikoba ya kinamama. 2. chipsi mayai na nyama choma hapa unakuwa na zaidi ya vijiwe vitatu kwa fedha yako hiyo na hata unaweza kwenda mbali kwa kuanzisha mradi wa MOBILE VENDING CHIPS.... 3. Kuanzisha huduma ya kukopesha kinamama wajasiliamali eneo ulipo ni hayo tu
 
kwanza angalia mahali ulipo kuna tatizo gani ? kwa mfano hapo ulipo kama kuna tatizo la maji basi unabadilisha tatizo hilo kuwa mradi wako, hii ni hatua ya kwanza ya wewe kupata wazo la biashara ukimaliza kupata wazo la biashara unafuata hatua ya pili ya kufanya maamuzi ambayo yanaweza kubadili maisha yako na wakati unaingia kwenye biashara yako kichwani kwako uwe na wazo la kwamba si kwamba unahitaji kuwa na utajiri wa haraka fikiri kuwa Uvumilivu ndio kinga ya Biashara yako. Ngoja nikupe mifano ya miradi ya kufanya 1. kununua na kuuza mikoba ya kinamama. 2. chipsi mayai na nyama choma hapa unakuwa na zaidi ya vijiwe vitatu kwa fedha yako hiyo na hata unaweza kwenda mbali kwa kuanzisha mradi wa MOBILE VENDING CHIPS.... 3. Kuanzisha huduma ya kukopesha kinamama wajasiliamali eneo ulipo ni hayo tu

Wazo zuri, nitalifanyia kazi
 
Babu njoo huku kusini mwa tanzania ingia vijijini nunua mkaa wa kwenye viroba peleka dar kwenda kuuza inalipa sana ila mwanzo maliasiri watakusumbua ila ukiwazoea hawakunyimi usingizi
 
Unaweza kwenda ilala asb sn ukachukua nguo za wadada kwa bei ya jumla 3000-3500 ukarudi home kuziongezea thamani kwa kuzipasi vzr kisha ukatumia mitandao kutangaza biashara yko,ukapita kweny maofisi mbali(hawa weng hawana muda wa kwenda kutafuta nguo),masaloon nk ukawauzia kwa 8000-10000 kutegemea na nguo.Nakuhakikishia ukiifanya hii biashara trip 4 tayari utaweza kuwa na pesa kulipa frem na kubaki na mtaji wa kutosha.Tena unaweza chanfanya biashara hii na biashara ya ubuyu,unaagiza ubuyu wa babu issa Zanzibar ndoo ya lt 10 kwa tsh 20 wewe unafunga kweny package ya 500 na 1000 ukaweka label yko,ukawauzia madukani jumla wao wanauza mdogo 700 mkubwa 1500,na hata hao wateja wako nguo pia watakuwa ndio wateja wako wa ubuyu maana wanawake wanapenda sn ubuyu na hii faida yke ni nusu kwa nusu.
Mungu akusaidie mwanzo wako
 
Back
Top Bottom