mara nyingi binadam huwa tuna kuwa na ndoto nyingi sana ktk maisha na kuna mipango ming ambayo kina mmoja anakuwa nayo kufanikisha ndoto zake ikiwemo biashara,kaz,cerebrity,investing,franchise,winning a lotary na nyingine nyingi na unatakiwa kuangalia mazingira uliyo nayo.kwa mpango wangu wa biashara ya mtandao,hautaacha kaz yako,na busines plan umetengenezewa na kampun we ni kuifuata tu na kutengeneza kipato cha kimataifa,mtaji kidogo laki saba tu, bidhaa zetu ni za afya na urembo ambavyo ni vit vya matumiz ya kila siku,kwa upande wangu biashara ya mtandao ndiyo mkomboz kwa jamii zetu.
Katika entrepreneurial skills unatakiwa kuwa na business plan kwanza, then plan itagharimu kiasi fulani. Hivyo capital ni swala linalojileta lenyewe. Usipofuata principle hii hutafanikiwa kama mjasiria mali.
Naomba kuwakilisha
nipo kilimanjaro...ndugu.....wilaya ya hai
Kachukue fomu ugombee
mtaji unatosha sana kama alishafanya market research na kuona ubora wa soko, competition na mengineyo .. mtaji unaeza tosha lakn factor zingne zikawa kizuizi...Jamaa yangu ana mtaji wa milioni nne,anahitaji kuanza biashara ya vinywaji vya jumla(viroba na vya chupa),pia sigara na vocha za jumla.
1.Je mtaji huu unatosha?
2.Faida yake ikoje?
Hajawai kufanya biashara yoyote ile,natanguliza shukrani nakaribisha mawazo yenu.Anaishi Kahama mjini.
Mambo mengine kama yapi?Funguka tumsaidie huyu mtu kama ulishawai fanya hii biashara au kama unauzoefu nayo.Mtaji unatosha,lakini aangalie na mambo mengine.
Competition ni kana hakuna kwa eneo analotaka kufungua,soko kwa jinsi eneo lilivo nadhani atauza kwani wauza maduka wa rejareja, vibaa vipo kibao pia ni barabarani.Kinachompa hofu hajawai kufanya biashara hata mara moja,je inalipa biashara hii kwa waliowahi kufanya na faida yake ikoje.mtaji unatosha sana kama alishafanya market research na kuona ubora wa soko, competition na mengineyo .. mtaji unaeza tosha lakn factor zingne zikawa kizuizi...