Lipijema JF-Expert Member Mar 8, 2015 810 1,196 Aug 30, 2019 #1 Ningependa kuwajulisha wakulima wenzangu wa kanda hii ya ziwa hususa mikoa ya Kagera na Geita ya kuwa tuzitumie hizi neema kwa kuanza kupanda.
Ningependa kuwajulisha wakulima wenzangu wa kanda hii ya ziwa hususa mikoa ya Kagera na Geita ya kuwa tuzitumie hizi neema kwa kuanza kupanda.
R Retired JF-Expert Member Jul 22, 2016 40,628 74,499 Aug 30, 2019 #2 Lipijema said: Ningependa kuwajulisha wakulima wenzangu wa kanda hii ya ziwa hususa mikoa ya Kagera na Geita ya kuwa tuzitumie hizi neema kwa kuanza kupanda. Click to expand... HATUPANGIWI
Lipijema said: Ningependa kuwajulisha wakulima wenzangu wa kanda hii ya ziwa hususa mikoa ya Kagera na Geita ya kuwa tuzitumie hizi neema kwa kuanza kupanda. Click to expand... HATUPANGIWI
Lipijema JF-Expert Member Mar 8, 2015 810 1,196 Aug 30, 2019 Thread starter #3 Retired said: HATUPANGIWI Ni ushauli tu ndugu! Click to expand...
stephot JF-Expert Member Mar 1, 2012 15,888 23,075 Aug 30, 2019 #4 Hongereni sana,huku kwetu bado hakuna hata dalili...
milionea wa kesho JF-Expert Member Dec 28, 2015 328 631 Aug 30, 2019 #5 Mkoani morogoro hasa ifakara na turiani msimu huwa unaanza lini
tinkanyarwele JF-Expert Member Dec 30, 2016 2,017 1,940 Sep 5, 2019 #6 Shukrani sana mkuu ngoja tutoe mbegu nje