Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Hivi si ni huyu huyu Mh. Zitto aliyesema kuwa ana majina ya watu ama vigogo walioweka hela Uswisi na angewataja muda si mrefu? Katika kumbukumbu zangu zinasema ni mwaka sasa toka aropoke haya maneno. Huyu jamaa ni hatari sana kwa taifa letu na inabidi aogopwe kama ebola.
 
Hawa jamaa wanazidi kujianika. Hawajashika madaraka hawataki waguswe. Kutoa maoni ni haki ya kiraia. Watu wanamsema rais sembuse ukawa?
 
Nani anawabembeleza kila siku yanapiga kelele kama mbweha eti yanamtaka jk lakini kawachunia sasa yanaona aibu kama yanaoga nje.

mmemtuma Sita kashindwa,hao viongozi wa dini wameambiwa wapige kimya waelewe kwanza chanzo cha mgogoro
 
Kwa hyo tume ya warioba ilikusanya maoni ya wahuni?nyie kina songoro mnaandika vitu bila kutafakari
 
Viongozi wa UKAWA wamemuonya Mh.Zitto akae kimya asizungumzie mambo ya UKAWA kwa kuwa hayamhusu.Kauli hiyo imekuja baada ya Zitto kutoa kauli kuwa hana uhakika kama umoja huo utadumu mpaka uchaguzi 2015.Zito ametakiwa aendelee na ubinafsi wake awaache UKAWA wawapiganie wananchi. Source :Mtanzania. My Take:Zitto acha chokochoko,huna credibility ya kuwanyooshea Ukawa kidole,kwani wewe ni mbinafsi

Huyo ni Yuda Iskariote Amejaa tamaa ya madaraka, pesa, na kujiona yeye n9 bora kuliko wote
 
In election the most important person is the one who count votes and not the voters-Mugabe.
 
Zitto inaonekana anawashwa sana kama siyo kuchanganyikiwa. Jamaa mnafiki na adui wa mabadiliko tunayoyataka.

Akae mbali na ukawa yetu shenzi big time!!
 
Viongozi wa UKAWA wamemuonya Mh.Zitto akae kimya asizungumzie mambo ya UKAWA kwa kuwa hayamhusu.Kauli hiyo imekuja baada ya Zitto kutoa kauli kuwa hana uhakika kama umoja huo utadumu mpaka uchaguzi 2015.Zito ametakiwa aendelee na ubinafsi wake awaache UKAWA wawapiganie wananchi. Source :Mtanzania. My Take:Zitto acha chokochoko,huna credibility ya kuwanyooshea Ukawa kidole,kwani wewe ni mbinafsi

Hapo ndio huwamini kuwa zt habebwi na mtu wala ukawa ni mtu aliyejitasmini na kukubalika sio kubebwa na mwenzako akikuchoka utakimbiliya wapi tena?
Ukawa ukawa mkafie hulo
 
Nilikuwa nawaona UKAWA watu makini kumbe hakuna kitu ni misukule ya Chadema sasa Zitto ana mamlaka gani kwenye hii nchi, mambo yenu ya Chadema mnataka kuyaleta kwenye Katiba.
 
Viongozi wa UKAWA wamemuonya Mh.Zitto akae kimya asizungumzie mambo ya UKAWA kwa kuwa hayamhusu.Kauli hiyo imekuja baada ya Zitto kutoa kauli kuwa hana uhakika kama umoja huo utadumu mpaka uchaguzi 2015.Zito ametakiwa aendelee na ubinafsi wake awaache UKAWA wawapiganie wananchi. Source :Mtanzania. My Take:Zitto acha chokochoko,huna credibility ya kuwanyooshea Ukawa kidole,kwani wewe ni mbinafsi
Viongozi wa UKAWA au Mbowe ndiyo kasema.
 
ingawa natofautiana na zitto kwenye mambo mengi lakini hapa naungana naye,huu umoja nina mashaka nao kama utafika kokote.
 
Back
Top Bottom