Zitto hana jipya na hii ni political game wanataka wapite uchaguzi kilain na zitto analiongelea kana kwamba halengi uchaguzi huu mkuu but anajua UKAWA ni kikwazo
Kuna mdau kasema hapo juu kuwa zito ni kama picha tu, haina madhara. Halafu sijui ataenda lini kwa wafadhili wake ccm maana ameng'ang'ania chadema hataki hata kutoka?