Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kuna vyeti vya madukani mama.Asante kwa angalizo, lakini sidhani kama kwa mfumo wa Elimu ya Tanzania 7 + 4 atakuwa kwenye category ya watoto, maana nimesema awe Form IV kama alianza darasa la kwanza akiwa na miaka 7 kama amemaliza mwaka jana atakuwa na umri wa miaka 18 Je ni mtoto huyu?