Ndugu Zangu wana JF
Natanguliza shukrani zangu za pekee kwenu kwa salamu zenu za dhati na za faraja kwetu katika kipindi chote cha msiba. Marehemu Amedeus alilazwa katika nyumba yake ya milele tarehe 1/6/10 pale Kibosho Sisa Maro.
Sio rahisi kuwataja wote kwa majina ila nasema nashukuru sana kwa faraja zenu. Tuko pamoja na tutaendelea kuwa pamoja.
Asanteni sana na Mungu awabariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.