FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Poleni sana wapendwa mungu awatie nguvu na ujasiri
Amen
Amen
pole sana mkuu wewe na familia,ndugu na jamaa zako kwa msiba huu mzito na wakinyama.
hawa majambazi huwa wana nishangaza sana,shida yao ni mali kwanini wanachukua maisha ya mtu pia? ni unyama wa hali ya juu.
Mungu amlaze marehemu mahali pema peponi.