Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Wapendwa wana JF nawatangazia msiba wa mdogo wangu aishie Dar. Alivamiwa na majambazi jana usiku mida ya saa 3 hivi. Walimpiga risasi sita na kufariki papo hapo. Mipango ya mazishi ni pale 92 hotel shekilango jioni hii. Mimi kwa sasa nipo njiani kurudi Moshi kushiriki pamoja na familia. Nitawapa taarifa zaidi pindi nitakapopata habari zaidi