Kwa mila na desturi za WaAfrica wengi tofauti nyingi humalizwa au huanzia kwenye misiba, sherehe na mikusanyiko mingine. Hili wala lisikushangaze. Nitajie chama nchi hii ambacho wanachama na viongozi wake wote wanaelewana nitakupa mji.Eeeeh!nasikia mlitaka kuzipiga kavukavu tena huko ifakara?!!!hivi mwanangu kwanini watu wa CHADEMA wanapenda sana siasa za ugomvi?juzi tumeona picha za jamaa anaedai kumwagiwa tindikali na watu wa chadema,jana tena wenyewe wanakunjana mashati tena msibani..hii aibu sana hii,hiki chama sasa inabidi kitazamwa kwa jicho la tahadahri hasa huko vijijini!mheshimiwa mbowe changamoto hiyo,kisafishe chama anzia matawini..
sema ww kinga'st!!tabia ni kama ngozi, haivuki. Si ajabu marehemu hakuwa na tatizo na huyo shosti, wapambe tu wanajitutumua kuonyesha majonzi ya ziada.
Kilombero kwa imani za kishirikina ndio wenyewe. Wameambukizwa na ndugu zao wa Ludewa, Makete,...watu wa ifakara jana usiku walikuwa wanaimba nyimbo zinazomtuhumu mbunge wa jimbo hilo bwana mteketa kuwa ndiye anahusika na kifo cha marehemuu....wengine wamesema wasimuone leo kwenye mazishi
watu wa ifakara jana usiku walikuwa wanaimba nyimbo zinazomtuhumu mbunge wa jimbo hilo bwana mteketa kuwa ndiye anahusika na kifo cha marehemuu....wengine wamesema wasimuone leo kwenye mazishi
Ukiingia kichwa kichwa msibani kichapo kinakuwaga kawaida.
Kwa suala la ushangiliaji umeweka chumvi mkuu, unajua wanachama wengi wa cdm ni vijana, na vijana wanapenda kuonyesha hisia zao waziwazi, hivyo kusema kuwa waliletwa kwaajili ya kushangilia utakuwa unawakosea adabu cdm.
Jana kuna mdau alinidokeza kutoka Ifakara juu ya mzozo uliotokea,ni kweli mwenyekit aliwekwa rumande,
Pia huyo mdau alinambia kuwa ni kweli Kiwanga hatakiw mazikoni,
Then akasema watu wanasikitika wanadai ni Bora Angekufa Mteketa,coz c chaguo lao,wao wanaamin kuwa Mtema alishnda ila matokeo yalichakachuliwa
watu wa ifakara jana usiku walikuwa wanaimba nyimbo zinazomtuhumu mbunge wa jimbo hilo bwana mteketa kuwa ndiye anahusika na kifo cha marehemuu....wengine wamesema wasimuone leo kwenye mazishi
Eeeeh!nasikia mlitaka kuzipiga kavukavu tena huko ifakara?!!!hivi mwanangu kwanini watu wa CHADEMA wanapenda sana siasa za ugomvi?juzi tumeona picha za jamaa anaedai kumwagiwa tindikali na watu wa chadema,jana tena wenyewe wanakunjana mashati tena msibani..hii aibu sana hii,hiki chama sasa inabidi kitazamwa kwa jicho la tahadahri hasa huko vijijini!mheshimiwa mbowe changamoto hiyo,kisafishe chama anzia matawini..