THE WHITE ELEPHANT
Member
- Jan 15, 2012
- 93
- 13
Eeeeh!nasikia mlitaka kuzipiga kavukavu tena huko ifakara?!!!hivi mwanangu kwanini watu wa CHADEMA wanapenda sana siasa za ugomvi?juzi tumeona picha za jamaa anaedai kumwagiwa tindikali na watu wa chadema,jana tena wenyewe wanakunjana mashati tena msibani..hii aibu sana hii,hiki chama sasa inabidi kitazamwa kwa jicho la tahadahri hasa huko vijijini!mheshimiwa mbowe changamoto hiyo,kisafishe chama anzia matawini..