Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,467
- 2,861
- Thread starter
- #41
Msingi bora kabisa aliotuachia Watanzania ni kukubaliana kutokubaliana, huku tukibaki na dhana ya kuheshimu utu wa yeyoye ile.Hakuna jambo jema litakalofanyika hapa Tanzania under Magufuli.
LaZima nchi isubiri huyu Rais aondoke madarakani ndio itawezekana kulisimamisha taifa tena.
Economy is dead. No jobs no vision no plan.
Zidumu fikra potofu za Mwenyekiti ndio iliyopo.
And we are not going anywhere.
Diwani ana kazi yabkupambana Na chadema na kuhakikisha kura zinaibiwa na kupoteza wanaompinga Rais mitandaoni.
Sidhani kama an jambo lingine.
Na hao/ hio taasisi nzima ya TISS ni trash.
How they ended up allowing Magufuli to become President.
Its a Shame.
Baadhi ya wazee ukiongea nao au hata makala mbalimbali tukisoma, ni kama 1985, Mwl. Nyerere hakuwa kalenga kumwachi nchi mzee Mwinyi. Yeye alidhani Dr. Salim Ahmed Salim angetufaa. Baada ya maamuzi ya wanaCCM wakati huo, Nyerere aliondoka madarakani na kumkabidhi kijiti mzee ruksa.
Kuna mambo mengi mazuri JPM anafanya, huenda hatakidhi matarajio ya kila Mtanzania na kuna huenda hata mawazo tunayijadiliana hapa wasilazimike kuyafuata.
Lililo ndani ya uwezo wetu ni kushauri what is the best practices kwa kulinganisha wenzetu wanafanyaje huko duniani. Ila utu na kuheshimu mkubwa kwa mdogo ubaki kama sehemu ya maadili ya Utanzania.