Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,974
- 22,166
Familia ya kisanga
inapenda kuwajulisha mciba wa mtoto wao gabriel kisanga uliotokea jumamosi kwa ajali ya gari akitokea moshi..gabriel amekuwa kiongozi wa akudo banda,amefanya kazi riki hottel kama it manager na mpaka aanakufa alikuwa na kampuni yake ya it
msiba uko kwa mjomba wake danstan panda gari la masaki shuka mwisho wa kituo uliza msiba ulipo watakuonyesha..gabriel anatarajiwa kuagwa kesho mchana saa sita muhimbili kuelekea moshi kwa maziko
bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe
inapenda kuwajulisha mciba wa mtoto wao gabriel kisanga uliotokea jumamosi kwa ajali ya gari akitokea moshi..gabriel amekuwa kiongozi wa akudo banda,amefanya kazi riki hottel kama it manager na mpaka aanakufa alikuwa na kampuni yake ya it
msiba uko kwa mjomba wake danstan panda gari la masaki shuka mwisho wa kituo uliza msiba ulipo watakuonyesha..gabriel anatarajiwa kuagwa kesho mchana saa sita muhimbili kuelekea moshi kwa maziko
bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe