Unafiki uko wapi hapo kama huna jema la kusema kaa kimyaMwandosya mnafiki mkubwa itasaidia nini wakati watoto kinda kabisa hakukuwa na sababu ya baba yao kunyang'anywa uhai wake,watoto wanamuhitaji baba yao
Noo mkuu wangu hatakiwi mtu yeyote kujitolea isipokuwa mjane na watoto hawa walipwe haki ya kumpoteza baba yao asiyekuwa na hatia.. Serikali inatakiwa kulipa zaidi ya billioni 20..Ni jambo jema kama amelifanya kwa msukumo wa nia ya dhati moyoni ila siyo kwa maslahi ya kisiasa...
Anayesema hii serikali ni sikivu na ajitokeze mbele,
anayesema polisi hawana double standards na anyooshe mkono,
anayesema Tanzania kuna uhuru wa habari na aseme sasa,
anayedhani polisi hawajatumwa na atupe maelezo ya kutosha.
Hii kitu inauma,.
ANAYESEMA TANZANIA NI NCHI YA AMANI NA AONGEE SASA!
jk sijamuona..au mpaka afe ray au lulu?