Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Duh yaani michezo ya kipashkuna na ngono zembe ndio ibebe national interest?..guyz take chill pill kidogo.
Mkuu akishinda mmoja wapo utasikia tu ni sera nzuri za CCM kuinua vipaji katika michezo na mshiriki atapelekwa bungeni kutambulisha kisha Ikulu kupiga picha na rais we subili.