Dar_Millionaire
JF-Expert Member
- Aug 6, 2008
- 227
- 82
Mshindi wa mechi ya leo kati ya Simba ya Yanga ameshajulikana.
Ni Azam FC!
Leo hii Simba na Yanga watakapomenyana Uwanja wa Taifa kama kawaida watajaza uwanja mpaka pomoni. Ili kuwahi viti maelfu na maelfu ya wapenzi wa soka wamewahi uwanjani toka saa nne asubuhi.
Hii ina maana wengi watashikwa na kiu kwa kukaa muda mrefu uwanjani, na kwa kushangilia sana hapo baadae mechi ikishaanza. Hivyo lazima watakunywa kwa wingi vitu vifuatavyo:
Sasa nani mshindi hapo? Kalagabaho na hizi timu za kichama. Azam FC ndio chama la ukweli la wajanja.
Ni Azam FC!
Leo hii Simba na Yanga watakapomenyana Uwanja wa Taifa kama kawaida watajaza uwanja mpaka pomoni. Ili kuwahi viti maelfu na maelfu ya wapenzi wa soka wamewahi uwanjani toka saa nne asubuhi.
Hii ina maana wengi watashikwa na kiu kwa kukaa muda mrefu uwanjani, na kwa kushangilia sana hapo baadae mechi ikishaanza. Hivyo lazima watakunywa kwa wingi vitu vifuatavyo:
- Maji ya Uhai
- Soda za Azam Cola, na Azam Malt
- Na kulamba ashkrim za Azam
Sasa nani mshindi hapo? Kalagabaho na hizi timu za kichama. Azam FC ndio chama la ukweli la wajanja.