iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Hii inaweza kuthibitika Leo kwani marefa wanapochezesha mechi ya yanga na Azam mara nyingi wanacheza chini ya kiwango Chao na mechi kuonekana Kama vile bahasha imetembea.
Wachezaji wa Azam hawaonyeshi kujituma Sana. Hivyo mechi kuwa ya upande mmoja.
Haina haja ya mashabiki kuingia uwanjani kwani mechi hi referee anayo matokeo mkononi.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wachezaji wa Azam hawaonyeshi kujituma Sana. Hivyo mechi kuwa ya upande mmoja.
Haina haja ya mashabiki kuingia uwanjani kwani mechi hi referee anayo matokeo mkononi.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app