Amyner!
Hapo ndo najiuliza kweli, inakuwaje washindi wa BSS hawatoki sana kulinganisha na wale walioshindwa mapema...??
mm kwa cku huwa natumia mpaka Tsh. 6000/=
(chai+lanch+dinner)
wkt mwingine inaweza ikazid mpaka 10000/=
hapo tukiwa mm na dem wangu
Kweli wewe unapenda anasa!
Mimi kwa cku mpaka 5000{chai+lanchi+dina+vocha}
Kwa hii stori na hili tukio basi malipo ni duniani hapa hapa.!
Kuna nini kimetokea mkuu?Kwa hii stori na hili tukio basi malipo ni duniani hapa hapa.!
Huyo kijana alikuwa mshindi wa BSS 2009, baada ya kupewa bulungutu akamkana mkewe na mtoto, akawa anaishi kwenye mahoteli tu....Mama yake alivyoenda kumsalimia akamkana kuwa hawezi kusalimiana na star....hivyo mama yake akarudi bila kumwona mwanae wakati yupo ndani na watoto wakali akila Bata.Kuna nini kimetokea mkuu?
Mmhh alikana mpaka wazazi?????Huyo kijana alikuwa mshindi wa BSS 2009, baada ya kupewa bulungutu akamkana mkewe na mtoto, akawa anaishi kwenye mahoteli tu....Mama yake alivyoenda kumsalimia akamkana kuwa hawezi kusalimiana na star....hivyo mama yake akarudi bila kumwona mwanae wakati yupo ndani na watoto wakali akila Bata.
Hivyo dogo alikana kuanzia Mama yake, mkewe na mtoto hadi kaka zake.
Ndio huyo kwenye baiskeli ya matairi mawili alipata ajali ya gari, mpaka sasa amefanyiwa operation zaidi ya mbili lakini hakuna mafanikio.... hajiwezi.
Soma uzi wote utaelewa!
Wasukuma akili zao wanazijua wenyeweHuyo kijana alikuwa mshindi wa BSS 2009, baada ya kupewa bulungutu akamkana mkewe na mtoto, akawa anaishi kwenye mahoteli tu....Mama yake alivyoenda kumsalimia akamkana kuwa hawezi kusalimiana na star....hivyo mama yake akarudi bila kumwona mwanae wakati yupo ndani na watoto wakali akila Bata.
Hivyo dogo alikana kuanzia Mama yake, mkewe na mtoto hadi kaka zake.
Ndio huyo kwenye baiskeli ya matairi mawili alipata ajali ya gari, mpaka sasa amefanyiwa operation zaidi ya mbili lakini hakuna mafanikio.... hajiwezi.
Soma uzi wote utaelewa!