dazenp
Senior Member
- Mar 11, 2009
- 101
- 12
Kuna siku niliamua let me treat my self out....nikaenda club....sasa kufika club nikamwona mrembo moja mzuri...nikawa namtizama nahisi akawa na yeye kimpango wake amevutwa akaja dancing floor kucheza karibu kabisa na nilipo simama, amecheza kama dakika 15 hivi tena anacheza ile sexy style nikawa puzzled na the way anacheza.....nikaamua kumjoin dancing floor....
Sasa kumbe alikuwa na mshikaji wake that day....alichofanya akanipa tu her number mi nikaona ipo pouwa.....sasa the next day nikampigia tukaongea kumbe yupo na jamaa nikaona isiwe tabu nikatosa..... another weekend nikaenda club tena then ghafla nikamuona nikampa pini.....sasa nipo na jamaa zangu sehemu tumesimama tunacheki dancing floor kaja nilipokuwa nimesimama kanipa hug na kisses washikaji wakawa puzzled kama nilivyo mimi akaenda zake...
Later kanifuata niliposimama anaanza kucheza huku ananitizama naona ananiomba nicheze naye nikamwambia wala akaja kunifuata nashangaa mshikaji wake kanifuata eti mbona vile tena nikamwambia muulize mwanamke wako.....jamaa akaondoka demu hataki kuondoka nikahama pale....
Sasa akaniambia nipigie kesho mchana nimempigia kesho yake ananipa mchongo wa kuonana nikamwambia hilo weka kapuni siwezi staki ugomvi at all na mie najijua ni mkorofi kiasi sitaki....sasa nashangaa leo jamaa kanipigia eti oooh sitaki mazoe na demu wangu nashangaa kulikoniii Mshikaji vipi.....mawazo please
Sasa kumbe alikuwa na mshikaji wake that day....alichofanya akanipa tu her number mi nikaona ipo pouwa.....sasa the next day nikampigia tukaongea kumbe yupo na jamaa nikaona isiwe tabu nikatosa..... another weekend nikaenda club tena then ghafla nikamuona nikampa pini.....sasa nipo na jamaa zangu sehemu tumesimama tunacheki dancing floor kaja nilipokuwa nimesimama kanipa hug na kisses washikaji wakawa puzzled kama nilivyo mimi akaenda zake...
Later kanifuata niliposimama anaanza kucheza huku ananitizama naona ananiomba nicheze naye nikamwambia wala akaja kunifuata nashangaa mshikaji wake kanifuata eti mbona vile tena nikamwambia muulize mwanamke wako.....jamaa akaondoka demu hataki kuondoka nikahama pale....
Sasa akaniambia nipigie kesho mchana nimempigia kesho yake ananipa mchongo wa kuonana nikamwambia hilo weka kapuni siwezi staki ugomvi at all na mie najijua ni mkorofi kiasi sitaki....sasa nashangaa leo jamaa kanipigia eti oooh sitaki mazoe na demu wangu nashangaa kulikoniii Mshikaji vipi.....mawazo please