dazenp
Senior Member
- Mar 11, 2009
- 101
- 12
- Thread starter
- #21
mambo kama haya nilikuwa nayaona miaka ile ya madisko toto kumbe bado yapo kweli nimezeeka. Huyo demu ni macho juu achana nae halafu una aka ngapi mtu wangu? haya mambo naona kama ya ma-teenager
Mimi sio teen..............and neither is the guy.....ila nielewe sikuwa na mpango huo ila kiukweli ni kuwa nahisi huyo demu ndiye mwenye matatizo maana na nikufuata ushauri wa most of the comment's inaonekana ni bora tuu ni tupilie mbali hili swala since at the end of the day hakuna lolote na vuna katika hili......ila namba nitampatia who cares......ila mind you hii ni A City