MSHAHARA waingizwa Mara mbili...

SERIKALI DHAIFU IMEANZISHA MIFUMO MIPYA YA MALIPO ALAFU WAMESHINDWA KUISIMAMIA NA KUIENDESHA,KILA SIKU SYSTEM MBOVU,INAZINGUA.MPAKA SASA MISHAHARA HAIJAINGIA NI MSOTO MKALI..kwanini wanaanzisha system kabla ya kuzifanyia pretest??au ndo ujanja ujanja wa wajanja wachache kukwiba.maana nchi hii hakuna linaloanzishwa bilawatu kunufaika..,ni kama EFD za TRA jinsi zinavyokachachuliwa,watu hawalipi kodi bora manual system ya zamani
 
Mambo hayo yapo Tanzania pekee, wakati wengine hawajalipwa mshahara mpaka leo wengine wamelipwa mara mbili, lol!
 
mm kuna malimbikizo nilikuwa nadai wizarani, sasa nilidhan ndo nimelipwa, ha kumbe k2 ni double double
 
Nenda bar kaponde zote,chukua totos mbili ukijivinjari,mwezi ujao mshahara usipoingia urudi humu JF ulalamike.Tena usisahau kumlaumu Rais.wako wengi watakao kusupport kwenye malalamiko yako.
Unamwambia nani? Mimi si mhusika.Mimi tu kuwaletea habari...
 
Watanyang'anywa kwani standing order inasema kama umezidishiwa mshahara na unajua kuwa si hakinyako, ukala you are in hot soup.
 
Kama mwajiri akikulipa mshahara ambao usingetakiwa kulipwa na ilikuwa ni makosa yake ambayo anayakubali, anayo haki ya kudai hayo malipo. Vinginevyo, kuna uwezekano wa hao waliolipwa mara mbili wasipate mshahara wa mwezi ujao kwa vile walilipwa mara mbili mwezi uliopita. Hakuna cha kuchekelea hapo. Spend your money wisely.
Kwa hio unatushauri tuirudishe au tuitumie taratibu tukijua kuwa mwezi ujao hakuna kitu
 
Kwa hio unatushauri tuirudishe au tuitumie taratibu tukijua kuwa mwezi ujao hakuna kitu

Wewe mwenyewe unajua rohoni mwako kuwa siyo pesa yako halali. Hujaifanyia kazi hiyo pesa. It is money paid to you by mistake. Kwa mtu ambaye ni honest na anayeipenda nchi yake atapenda kumwuliza mwajiri wake kwa nini amewekewa mshahara mara mbili. Lakini kwa bongo sidhani ni nani atakayefanya hivyo. Watu choka mbaya na mtu akipata tuu nafasi ya kufisadi lazima afisadi.

Lakini nimeshashughudia watu waliwekewa ngororo (siku hizi wanaita boom) mara mbili kwenye account zao, term iliyofuata hawakuwekewa kitu na kwa stahili ya kibongo hawakupewa hata maelezo kwa nini hawakuwekewa pesa. So, kama wahusika wametambua kosa lao lazima wata-rectify mwezi ujao.
 
Wewe mwenyewe unajua rohoni mwako kuwa siyo pesa yako halali. Hujaifanyia kazi hiyo pesa. It is money paid to you by mistake. Kwa mtu ambaye ni honest na anayeipenda nchi yake atapenda kumwuliza mwajiri wake kwa nini amewekewa mshahara mara mbili. Lakini kwa bongo sidhani ni nani atakayefanya hivyo. Watu choka mbaya na mtu akipata tuu nafasi ya kufisadi lazima afisadi.

Lakini nimeshashughudia watu waliwekewa ngororo (siku hizi wanaita boom) mara mbili kwenye account zao, term iliyofuata hawakuwekewa kitu na kwa stahili ya kibongo hawakupewa hata maelezo kwa nini hawakuwekewa pesa. So, kama wahusika wametambua kosa lao lazima wata-rectify mwezi ujao.

Ngoja nichanganye na akiri zangu
 
Back
Top Bottom