TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
piga hesabu ya mshahara wa Slaa kwa mwezi na kwa miaka aliyotumika kama kaibu mkuu,utakuta ya bunge la katiba cha mtoto,we acha bana siasa inalipa tz,wajinga ni wewe na wengine mnaoangalia upande mmoja wa shilingi
Analipwa na serikali au umeamua kuwalisha kasa watu.