Lobapula
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 2,388
- 1,582
Kwa kawaida inatakiwa uongezewe hiyo incrememt mara unapopeleka transcript. Miaka mitatu utakuwa unaenda daraja lingine
Hua inachikua muda huo hata zaidi maana ma afisa utumishi serikalini hujiona ka miungu mtu,wanakimbizana tu na posho inshort hakuna uwajibikaji.