eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
- Thread starter
- #21
piga kaz acha majungu!, unajua mshahara wa commisioner wa tra wewe?, wa gavana wa bot je?, wa kwako (ukilinganisha na yule mama anaefagia barabarani dar) je?!, usichungulie mifuko ya watu utakua mwizi
Hoja Hapa sio kuangalia mshahara sh ngapi...
hoja kubwa kabisa ni kuangalia huyu mfanyakazi wa ikulu kwa miaka 25(LL.B) na bado akawa waziri kisha waziri mkuu ANAPOSEMA ETI KWENYE BANK ANAYO MILL 25 HUKU AKIWA NA NYUMBA MBILI. Hivyo vyote hata mimi nakidhi bila tatizo...
HOJA KUU:
MTOTO WA MKULIMA NI MUONGO KUZIDI HATA JK ALIVYO... NA KWAMWE TUSIWEWESEKE NA WATU WAONGO... KAMA UNAZO MALI WEE SEMA TUU WATU TUJUE KWA WADHIFA WAKO UNAYO KILA SABABU YA KUWA TAJIRI (LAKINI SIO WA "KUPINDUKIA")