Laki 7.
laki 9
Laki 7.
Lol ... samahani, ila mbona huwa wanaringa sana?Laki 7.
Lol ... samahani, ila mbona huwa wanaringa sana?
Lol ... samahani, ila mbona huwa wanaringa sana?
Naomba msaada wa kujua basic salary ya bank officer wa bank ya nmb.
Nimepata huko but kabla ya huko nilipata kwenye NGO moja kwa mkataba wa miaka 2 na sehemu zote natakiwa kuripot mwezi huu. Asanteni
Laki 7.
laki 9
Laki 7 weka MKOPO wa 40Millions, ulipwe within 10 Years kwanini wasijishaue??????
Laki 7 weka MKOPO wa 40Millions, ulipwe within 10 Years kwanini wasijishaue??????
acha kudanganya watu wewe mikopo ya milion 40 amekwambia nani?NMB kwanza kabisa matawi yake yamegawanyika kwa grade 1 -3 so mshahara wa teller wa grade one ni tofout na teller wa grade 3.na hz grade zinategemea na profit ambayo branch inatengeneza but salary gloss inananzia kwenye 0.7m but ukiweka na overtime huwa wanajikuta wana karibia 1m na kuhusu mikopo inategemea na salary yako but kwa tellers ina range million 15.ushauri kama umepata ngo unapenda kuendelea na career yako vizur nakushaur uende kwenye ngo na sio bank coz kama umesomea uhasibu kule hakuna gain yeyote unayoipata ni ngumu kukuwa ki career,
1. Ivi bank teller na bank officer ni sawa?
2. Ivi 0.7m na laki 7 pana tofauti?
Naomba msaada wa kujua basic salary ya bank officer wa bank ya nmb.
Nimepata huko but kabla ya huko nilipata kwenye NGO moja kwa mkataba wa miaka 2 na sehemu zote natakiwa kuripot mwezi huu. Asanteni
40mls na uilipe within ten years kwa mshahara wa less than 0.7m after deductions???you must be zombie.Laki 7 weka MKOPO wa 40Millions, ulipwe within 10 Years kwanini wasijishaue??????
Naomba msaada wa kujua basic salary ya bank officer wa bank ya nmb.
Nimepata huko but kabla ya huko nilipata kwenye NGO moja kwa mkataba wa miaka 2 na sehemu zote natakiwa kuripot mwezi huu. Asanteni