Msg toka kwa mpenzi:

dazipozi

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
1,137
106
"hivi we "PIMBI"Nani?anayekuchanganya uko JF?tangu Asubui paka saa sita za Usiku uko Jf,ok chaguwa moja unipe User name na paswedi?au uendele na Ujinga wako unaoitwa Jf?",Jamani naombeni msaada nijibu vp hii msg tangu ime2mwa ni dk 10 zimepita,Mx
 
Leo nimegundua kitu,kumbe jina lako lingine unaitwa PIMBI nilikuwa sijui. Sasa bwana Pimbi utajua mwenyewe kusuka au kunyoa.
 
mi mwenzio hapa nimenuniwa kisa niko bize na jf ameniambia nikimaliza nisimguse nimuache hivyo hivyo, wanawake wanamambo jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom