O Old Moshi Senior Member Jul 31, 2011 118 32 Feb 17, 2012 #1 Mimi nilikua nikimchokoza mtu, akikasirika namwambia ivi 'ukinipiga unanionea, ukiniacha unaniogopa' misemo gani uliitumia ulipokua mtoto ambayo ukiikumbuka unafurahi. Weekend njema wadau
Mimi nilikua nikimchokoza mtu, akikasirika namwambia ivi 'ukinipiga unanionea, ukiniacha unaniogopa' misemo gani uliitumia ulipokua mtoto ambayo ukiikumbuka unafurahi. Weekend njema wadau
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,515 20,005 Feb 17, 2012 #2 nataka mma=nataka maji nataka nya=nataka k*nya
O Old Moshi Senior Member Jul 31, 2011 118 32 Feb 17, 2012 Thread starter #3 apo si kwa vile hujui kuomhea vizuri
vanmedy JF-Expert Member Oct 12, 2011 2,698 1,395 Feb 18, 2012 #4 Usionee dagaa onea kambaree.. Hapo mbabe anataka akudunde unajitetea