Msemaji wa Muhimbil National Hospital Bw Aminiel afunguka

Bantugbro umeshawahi kugoma kwa lolote hata kwenye mgomo wowote ambao wanaharakati waligoma au nawe unataka uonekane tu kuwa unapost? Walimu wako wamegoma mara ngapi mpaka leo serikali yako ilifanya nini? Madaktari waligoma mara ngapi ili kuongezewa posho na wakabaniwa? usikurupuke kupost ndugu pasipo kufuatilia historia ya nchi yako kaka.
 
Doctors ware very brave....hawakuona haja ya kuzungumza na PINDA thats y hawakwenda imagine PINDA anashadadia WABUNGE wale posho uku akijua anawagawa WATANZANIA bila kuangalia athari za POSHO zao ambazo zimepigiwa kelele ata na viongozi wadini still yeye HAELEWI SOMO...what if WANAJESHI LEO WAJE NA MADAI YA POSHO ZA MILIONI MOJA KWA SIKU kwa sababu WABUNGE ndo bora kuliko wafanyakazi wengine....KIKWETE atajilaumu sana kumuweka mtu km huyu ndo awe kiongozi wa shughuri za serikali....hana mvuto wa uongozi ndo maana Madakitari waliona hakuna cha kuzungumza na mkulima
 
ningekuwa raisa JK ningewatimua PM ,waziri husika pamoja na katibu mkuu wake. hawapo serious mbona ishu ndogo tu hii mwenyewe ingenichukua dakika mbili tu kuimaliza. Kikubwa wangekubali madai yao waende wakatafute hela tu. "Wachina wana msemo wao kuwa hata uwe msomi kiasi gani huwezi kushindana na mbumbumbu 100,000 watakushinda tu".
Kwani yeye jk yupo serious kiasi gani cha kutimua pinda na wengine??? yeye kwake simple tuu!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huwezi kupinga posho za wabunge kwa kuomba wewe pia Posho... Ni akili ya kitoto ambao hugombania peremende..Posho za vikao zinapigwa vita kwa mtu yeyote na msimamo huo hauwezi kubadilika.. Tufanye migomo kupinga posho za vikao na sio kuomba posho zaidi kuongeza matumizi ya ndani ili kumuumiza mwananchi anayelipa kodi na kisha bado analipia matibabu.

Usikurupuke kujibu kitu usichokijua. Nani kakuambia madaktari wanadai posho ya vikao. Kama hujui madai ya madaktari kaa kimya.

 
Nimesikiliza hutuba ya mhe pinda kwa kweli hawa madakitari walimdharau hivyo kibinadamu lazima
waziri mkuu awe na hazira kwanini jana awakwenda kulikuwa akuna sababu yoyote ya msingi zaidi
ni ubishi tuuu mngeenda fanyieni kikao then muombe siku nyingine ya kukutana nao hata leo kwa hili
pinda kasha wakamata amna ujanja rudini hodini katibuni wagonjwa mjipange tena wakati mwengine
mambo mengine yanahitaji hekima siyo bangi sasa mnaona hata tuliokuwa tunawasaport tumeishiwa
nguvu ndg zangu kujikwaaa siyo kuanguka kajipangeeni upya hapo mmechemsha nendeni tuu kafanyieni kazi
huko mahakamani mmnapoteza muda wenu

Ngamiamzee naona umezeeka vibaya. PM Pinda aliwaandikia kwa maandishi kuwa wakutane leo (Jumatatu) saa nne, sasa hiyo kukutana jana ilizuliwa wapi??? Nafikiri ni janja ya wapiga propaganda kupotosha umma kuwa Madaktari wetu wanafanya ndivyo sivyo. Namshauri Mh. Pinda atumie busara zaidi na uhalisia wa mambo, kuliko hizi propaganda na siasa siasa za Kitanzania. Halafu wapika propaganda wamesahau umma ndiyo unaoumia na kushuhudia madhara makubwa zaidi kuliko walivyokuwa wakifanikiwa katika mambo mengine kwa kuwahadaa wananchi. Huku misibani (misiba itokanayo na sakata hili) tunayazungumza na kueleweshana jinsi serikali yetu isivyotujali, ipo radhi tufe maelfu eti kwa kulinda watu watatu.
 
still yet not enough till we there are dead bodies in the wards and MNH is smelling. using power to intelligent people is none sense.
Nasikia eti DODOMA eti RC anasimamia watumishi wa afya wanao taka kurudi kazini warudi, itawacost sana hii. Tutatumia platform hii hii kuwasiliana throughout the country.
 
Watajitokeza tu hadi wasemaji wao, pamoja na kwamba kwenye matukio mengine huwa hawjitokezi. Tunashukuru madaktari kwa mgomo huo mpaka hata wale ambao huwa hawafanyi kazi leo wanafanya kama huyo msemaji wa MNH. Msilegeze hata kidogo.............

Wadanganye tu , dola si mchezo mkwara wa jana leo wote wamefika makazini. Sasa tunawafuata makazini kuhakikisha kuwa wagonjwa wanatibiwa. Wao kama wanataka hela nyingi si waende wakatibu nje au waanzishe hospitali zao binafsi

 
Ngamiamzee naona umezeeka vibaya. PM Pinda aliwaandikia kwa maandishi kuwa wakutane leo (Jumatatu) saa nne, sasa hiyo kukutana jana ilizuliwa wapi??? Nafikiri ni janja ya wapiga propaganda kupotosha umma kuwa Madaktari wetu wanafanya ndivyo sivyo. Namshauri Mh. Pinda atumie busara zaidi na uhalisia wa mambo, kuliko hizi propaganda na siasa siasa za Kitanzania. Halafu wapika propaganda wamesahau umma ndiyo unaoumia na kushuhudia madhara makubwa zaidi kuliko walivyokuwa wakifanikiwa katika mambo mengine kwa kuwahadaa wananchi. Huku misibani (misiba itokanayo na sakata hili) tunayazungumza na kueleweshana jinsi serikali yetu isivyotujali, ipo radhi tufe maelfu eti kwa kulinda watu watatu.

Mkuu wewe unajua kusoma na kuona ? hapa hapa JF ilitumwa taarifa ya PM kukutana na madaktari siku ya jumapili na ilisambazwa kwenye vyombo vya habari na wao waliipata. Wao walitaka kukutana na PM J3 ili wenzao wa mikoani wafike. Hii ni hoja dhaifu sana, siku zote wakiwapo wachache huwawakilisha wengine, hawana hoja !

 
Mkuu wewe unajua kusoma na kuona ? hapa hapa JF ilitumwa taarifa ya PM kukutana na madaktari siku ya jumapili na ilisambazwa kwenye vyombo vya habari na wao waliipata. Wao walitaka kukutana na PM J3 ili wenzao wa mikoani wafike. Hii ni hoja dhaifu sana, siku zote wakiwapo wachache huwawakilisha wengine, hawana hoja !


Nakubaliana na hoja yako GeniusBrain, lakini huoni hakukuwa na makubaliano kwenye hilo?? Kuna madaktari waliopo Intern wao walikasirika sana kwa kutohudhuria na kuwasilisha hoja zao. Haya madai yapo pia kimakundi. Kumbuka, sakata hili limeanzia kwa ma-intern. Pia napenda kukufahamisha kuwa sipo kishabiki kwenye hili, napenda kuona suluhu ya kuridhiana inafikiwa maramoja ili kuokoa uhai wa Taifa letu. Nami ninaimani hata wewe upo kwa mtazamo mpana ukizingatia tatizo lililopo na uwiano sawa wa kila pande. TUPO PAMOJA.....
 
wanagoma kufanya kazi watu wafa mwisho wa mwezi wanapokea mShahara.dhambi kubwa sana
 
Back
Top Bottom