Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Akiri hali ya Muhimbili ni mbaya, huduma hazitolewi. Amesema mahudhurio ya wagonjwa yamepungua sana mfano kutoka 60 mpaka 10 kwenye kitengo cha emergency.
Wakuu mpaka Aminieli anaamua kufunguka ni ukweli usiopingika hali ni tete.
Source; East Africa radio
Wakuu mpaka Aminieli anaamua kufunguka ni ukweli usiopingika hali ni tete.
Source; East Africa radio