Pole sana Wastara,
RIP Said Juma Kilowoko, nlikuona juzi EATV kipindi cha MIKASI ulikua umechangamka sana, nkajua sasa unakaribia kupona, kumbe ndio ulikua unatuaga.
Kwenye kipindi cha mkasi.
Hivi aliugua hasa nini?
Kinarudiwa lini?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
jamani sajuki
sijui lini lakini unaweza uka angalia kwny youtube.
Who is Sajuki?