King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,697
- 68,682
Rest In Peace Sajuki' nlimuona juzi EATV na mkewe! Pole sana Wastara mwe!
Kwenye kipindi cha mkasi.
Rest In Peace Sajuki' nlimuona juzi EATV na mkewe! Pole sana Wastara mwe!
Kwenye kipindi cha mkasi.
waaaaaaat inna lilah waina lilaah rahuun,,, wastara!!!!!!!!!!!!!!! Oooooooopx i cnt imagn hw she z fln nw n at wat cndtn
Msanii Juma Kilowoko
(SAJUKI)amefariki dunia leo alfajiri katika
hospitali ya Taifa Muhimbili.Kwa mujibu wa
Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya
Ilala,Rajabu Amiri hivi karibuni Sajuki alikuwa
anasumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu
source: ITV facebook page
Mbona RAY C Kapigwa Tafu Fastaa, Ila Huyu Jamaa Kasotea Saana?
Msanii Juma Kilowoko
(SAJUKI)amefariki dunia leo alfajiri katika
hospitali ya Taifa Muhimbili.Kwa mujibu wa
Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya
Ilala,Rajabu Amiri hivi karibuni Sajuki alikuwa
anasumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu
source: ITV facebook page