Mama Yeyoo
Senior Member
- Mar 25, 2012
- 101
- 38
huyu binti amekwisha habari yake. shetani kammaliza. Mungu amsaidie tu. anatakiwa kuacha kabisa hizo filamu atengeneza maisha yake kwa njia ya elimu ya darasani. la sivyo, ataolewa kwa mganga wa kienyeji kama alivyofanya mwenzie Nora.
Usihukumu ndugu utahukumiwa...shetani is at work of course lakini haimaanishi kuwa ni mshindi...Mungu wetu ni wa rehema,tumuombee huyu mtoto ili apitie toba ya kweli na kuishi maisha sahihi...