ivy blue carter
Senior Member
- Jan 10, 2012
- 119
- 27
lucifer"s dota???? we haya tuuu.Habari eubl yvi upo? Lucifer's dota
Huo mchuma anam-flirt kind sepetu
nway nipo ndio.
lucifer"s dota???? we haya tuuu.Habari eubl yvi upo? Lucifer's dota
Huo mchuma anam-flirt kind sepetu
Mi nilidhanin huo mjengo wa nyuma yake ndo wake kumbe gari? dah kazi kwelikweliNani kasema kuwa na gari ni maendeleo? Hatahivyo, ni vizuri mtu kuishi maisha yake na sio ya watu au mtu mwingine.
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
El Toro samahani kwa hili lakini kuna baadhi ya information ukiwa unazileta inabidi uwe unazifanyia uchunguzi kwanza. Wabongo tunapenda kujikweza sana hiyo gari siyo ya Diamond bali hiyo gari na hiyo nyumba inayoonekana alipewa kwa ajili ya kufanyia shooting tu ya wimbo wake wa Mawazo ambapo producer wa video hiyo ambaye anaitwa Adam wa Visual Lab ndio alisaidia upatikanaji wa location tusiwe tunapenda kudanganya kwanini tusiishi maisha yetu ya kawaida tu.
Gari yake au kakodi kufanyia shooting.
OTIS
Nampongeza dogo kwa achievementlakini wakuu kuwa na gari kama hiyo kwa maisha yakibongo ni sawa na ndoa katoliki (au chupi), tading is very difficult
he could have started with something normal maana hiyo itamla sana pesa na aombe mno aendelee kupanda.
Hivi inafikaje kibwegere?
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
lol.......................ndio maana warembo wanapangwa hapo mmh.
ivyo vyake au kaweka pozy tuu hapo.
Kwani hapo si kwake?Sawa je amejenga? au anakaa kwa mama ake?
Mbona kavaa nguo za kike?
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
Wabongo kwa shooting za kujikweza hawajambo,kweli kila kitu kina siasa.
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
Mbona kavaa nguo za kike?