gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
am not sure kama this is true story, coz kwa wale wafuatiliaji mtagundua hii nyumba na hili gari ndivyo vilivyotumika katika shooting ya MOYO sasa leo mtu kamega picha pale anatulete JF eti mchuma mpya wa Diamond! hebu tuwe tunafanya uchunguzi kabla ya kupost hapa.