Msanii Country Boy Rasmi Ameachana Na Recording Label Ya Kondegang

Huu mtindo Harmonize kakurupuka sana kingine country wizzy kama mavoko yaani wako level sawa na Harmonize

Kama walivyokuwa mavoko na sadala so maslahi yataleta tatizo

Harmonize bado hana mirija mingi ya kupiga pesa nae anategemea kutoa ngoma maisha yaende na show sa ni mbaya sana mfano anatoa hits nyingin daily kulinda soko lake

Si ajabu naye akaja na lebo yake 😲😂
 
Bado

Baby.

Hizi ngoma kazitoa akiwa konde gang na ni kali sana pia.

Baby

hautoki kwenye playlist yangu, Far pia ni kali japo sehemu aliyoimba harmo sikuikubali sana

Wizzy yupo vizuri sema genre anayoimba haipo kwenye market sana ila kama akijipanga fresh. Bado naona uwezo upo
 
Waondoke wote abaki mwenyewe na skales maana ni hasara tu anapata


Ivi davido na wizkid burna wana lebo kweli
 
Waondoke wote abaki mwenyewe na skales maana ni hasara tu anapata


Ivi davido na wizkid burna wana lebo kweli
Davido ana label Davido Music Worldwide (DMW) na Wizkid yake inaitwa Starboy, Burna hana label.
 
Killy hana nyota ila msanii mzuri. Hata kabla ya kujiunga kings ana wimbo flani video ilitengenezwa an nisher mkali lakini haukuwika
Killy anafanya vizuri sana. Ngoma zake hata sasa ni kali sana, ila tu kwasababu bado ana ngoma chache.

Killy na Anjella wako vizuri kama wakipewa muda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom