kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,199
- 14,699
Shidowa noo baleeeee!!! Hv samahani wakuu. Ile "konde myuzik bowaaaii" nini maana yake
Shidowa noo baleeeee!!! Hv samahani wakuu. Ile "konde myuzik bowaaaii" nini maana yake
Konde Music Worldwide. Acha kututania na label yetu.Shidowa noo baleeeee!!! Hv samahani wakuu. Ile "konde myuzik bowaaaii" nini maana yake
Dah mkuu umenifurahisha sana kwamba anasema konde myuzik bowaii tatizo lughaShidowa noo baleeeee!!! Hv samahani wakuu. Ile "konde myuzik bowaaaii" nini maana yake
Ago dai .....ago kill uShidowa noo baleeeee!!! Hv samahani wakuu. Ile "konde myuzik bowaaaii" nini maana yake
Uko na sample hapo?Konde Music Worldwide. Acha kututania na label yetu.
Konde boi komi namba wan somach inze benkimanAgo dai .....ago kill u
Ila watu mna visa sana dahHuyo kantri alicho ambulia kweye hilo genge ni kununuliwa tu bange za bure
Unaitwa Rudi , Ulikuwa moto. Aliendaga kwa Papa Misifa wakashindwana.Killy hana nyota ila msanii mzuri. Hata kabla ya kujiunga kings ana wimbo flani video ilitengenezwa an nisher mkali lakini haukuwika
Ibraaah Konde music wowaaaaaaaiii akimaanisha Konde Music WorldwideShidowa noo baleeeee!!! Hv samahani wakuu. Ile "konde myuzik bowaaaii" nini maana yake
Ibraaah Konde music wowaaaaaaaiii akimaanisha Konde Music Worldwide
Wowaaaaaiii😂😂🙌🏽🙌🏽Ibraaah Konde music wowaaaaaaaiii akimaanisha Konde Music Worldwide
Somachi mani inze benkimani😂😂😂Konde boi komi namba wan somach inze benkiman
Leo nakutooooooooooototo.
Kanaimba ilimradi
Huu mtindo Harmonize kakurupuka sana kingine country wizzy kama mavoko yaani wako level sawa na Harmonize
Kama walivyokuwa mavoko na sadala so maslahi yataleta tatizo
Harmonize bado hana mirija mingi ya kupiga pesa nae anategemea kutoa ngoma maisha yaende na show sa ni mbaya sana mfano anatoa hits nyingin daily kulinda soko lake
Bado
Baby.
Hizi ngoma kazitoa akiwa konde gang na ni kali sana pia.
Mbaya zaidi unapotaka kuacha kazi boss anakubana na mkataba.HAYA NILIYAONA MUDA TU ILA NILISUBIRI WAKATI UTUPATIE MAJIBU
HAKUNA KITU KINAUMA KAMA KUFANYA KAZI AMBAYO HAINA MASLAHI
Davido ana label Davido Music Worldwide (DMW) na Wizkid yake inaitwa Starboy, Burna hana label.Waondoke wote abaki mwenyewe na skales maana ni hasara tu anapata
Ivi davido na wizkid burna wana lebo kweli
Killy anafanya vizuri sana. Ngoma zake hata sasa ni kali sana, ila tu kwasababu bado ana ngoma chache.Killy hana nyota ila msanii mzuri. Hata kabla ya kujiunga kings ana wimbo flani video ilitengenezwa an nisher mkali lakini haukuwika