Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,191
- 3,353
Ikiwa tunaelekea mwisho wa mwaka 2014, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wasanii wa hapa Tanzania, Juhudi na jitihada zimefanya wasanii wetu kuvuma kwenye media nyingi wakiwa na support za mashabiki wao katika kazi zao nzuri, na hii ni fursa nyingine kutoka Jamiiforums kuchagua msanii aliyeteka vilivyo ndani ya huu mwaka.
TAFADHALI PIGA KURA MARA MOJA TU, MWISHO KUPIGA KURA TAREHE 6 DECEMBER 2014.
Msanii bora wa kiume
A. Rich Mavoko
B. Diamond Platnumz
C.Jux
D.Ally kiba
************ UPDATED DAILY RESULTS***************
TAFADHALI PIGA KURA MARA MOJA TU, MWISHO KUPIGA KURA TAREHE 6 DECEMBER 2014.
Msanii bora wa kiume
A. Rich Mavoko
B. Diamond Platnumz
C.Jux
D.Ally kiba
************ UPDATED DAILY RESULTS***************