Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,656
- 7,269
Punguza ujuaji wa kijinga na utakuja kunishukuru baadaeWatu waliotoka kwenye nyumba za nyasi hawapaswi kuongoza nchi hii na kwa bahati mbaya ndio wengi.
Punguza ujuaji wa kijinga na utakuja kunishukuru baadaeWatu waliotoka kwenye nyumba za nyasi hawapaswi kuongoza nchi hii na kwa bahati mbaya ndio wengi.
Kwahiyo wewe umekubali maneno ya mtoa mada? hana ushahidi na anachoongea na wala hajaingia kwenye hiyo Hotel. Halafu Mwanza kuna Hotel ya zaidi ya laki 2 kwa siku na zinajaza.Wewe ndio hujaelewa ,na labda huna exposure na uzoefu kwenye swala husika, hoteli inapokuwa na nyota tano kuna standard pia lazima uziweke hata kwenye hizo rooms ikiwemo ukubwa ,huwezi kumlipisha mtu laki mbili per day halafu umuwrke kwenye chumba kidogo kama choo ,kwa ufupi hiyo hoteli haitokuwa na ubora na itakosa wateja wa hadhi hiyo ya nyota tano, mleta mada yupo sahihi
Kweli kabisa! anaongea vitu hana ushahidi atupe picha ya hivo vyumba kama hana itakuwa ni majungu tu.Naomba utume picha tuone huo ukubwa wa hivyo vyumba la sivyo.utakuwa una yako
Wewe unalijua hilo eneo?Mbona hotel yenyewe haina parking? Hiyo pia inapunguza unyota 5 wake!
Inamaana hawakuelewa wanachokifanya tangu mwanzo au kwa sababu ni mapesa ya kuchota tu kwa mfuko wa mafao ya watu.Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaji aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabidi achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5.
View attachment 2660462
Achana na wapumbavu wasio kuwa na punje ya tafakuri kwenye bongo zao, yanakaa kusikiliza umbeya tu usiokuwa na fact wala ukweli wowote na hii ndio.sifa za watanzania wengi yaani yamekaa kama manyumbu.Kwahiyo wewe umekubali maneno ya mtoa mada? hana ushahidi na anachoongea na wala hajaingia kwenye hiyo Hotel. Halafu Mwanza kuna Hotel ya zaidi ya laki 2 kwa siku na zinajaza.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Achana na huyo anaongea uongo na wala hajafika kwenye hiyo Hotel.Inamaana hawakuelewa wanachokifanya tangu mwanzo au kwa sababu ni mapesa ya kuchota tu kwa mfuko wa mafao ya watu.
Hana analolijua analeta uongo tu hapa.Tupe vipimo vya vyumba vya NSSF Hilton hotel Mwanza
PSSF Commercial Complex, Sinza MakaburiniNSSF nao wana miradi mikubwa mingine ni ya hovyo.
...Waliwauliza Wastaafu' wenye Hela zao huko ??Hii ni kati ya miradi ya kifisadi iliyokuwa ilibuniwa na nssf ikishirikiana na CCM kupiga pesa za wafanyakazi. Msonga, Dr Dau....
Acha kujitetea leta picha ya hizo rooms ili tuone size yake.Ukianza matusi badala ya kutoa hoja nitakulipa kwa hela ya kwenu
Punguza kusikiliza story za vijiweni.Uliza ; unataka kujua nilizaliwa lini?
Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaji aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabidi achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5.
View attachment 2660462
Leta picha, mfano nikileta picha mbili za nyumba pamoja za ukubwa tofauti kwani ubongo wako utashindwa kutofautisha ukubwa, ubongo wetu umendwa na nerves na cell nyingi sana zenye uwezo wa kufanya intergration stahiki na lazima kwa kuangalia tu picha me nitajua size ya hizo rooms, sina ubongo wa samaki kama wako.kwenye picha unawezaje kuona size kwa mfano?